MDChuo course gani sasa? Isije ukawa unasoma architecture ukatajiwa laptop ya mtu wa community development
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ushauri bei yake ni tsh ngapiNunua hii
Lenovo Yoga 730-15 - 15.6" 4K UHD Touch - i7-8550u - 16GB - 512GB SSD - Silver Amazon product ASIN B07MFDFZQY
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni 3,500,000Tsh.Asante kwa ushauri bei yake ni tsh ngapi
Mkuu sidhani kama mtu anayesoma md hii anahitaji. Nishaona watu wanapiga computer science na computer engineering lakini wana pc za chini ya 1.5 MNi 3,500,000Tsh.
Yan milion 3 laki tano na nusu za kitanzania.
Mkuu sidhani kama mtu anayesoma md hii anahitaji. Nishaona watu wanapiga computer science na computer engineering lakini wana pc za chini ya 1.5 M
Sent from my PBCM30 using Tapatalk
Nashukuru sana kwa ufafanuzi bomba kabisaKwa budget nzuri around laki 9 nenda na i3 za kisasa 8th gen mpaka 10th gen hizi zina nguvu kuliko i7 za gen ya 7 kushuka. Mfano wa hizo i3 ni kama
i3 8145u
i3 8130u
i3 8109u
Hizo za juu ni common mtaani, na hizi za chini ni nzuri zaidi ila supply si kubwa sana ni kama
i3 10110u
i3 1000G4
i3 1000G1
i3 1005G1
Kwa budget around laki 6 mpaka 8 unapata generation nzuri kama ya 6 na 7 processor kama
i3 6100u
i3 7100u
Na zifananiazo.
Na kama bado budget ni ndogo zipo laptop used gen ya 4 ama 3 unazipata as cheap as laki 3, zinaweza kuwa i3/i5/i7 sema i5 ni common zaidi.
Kujua laptop gani inatumia processor gani nenda mycomputer kisha right click kisha chagua properties.
Habari wana jf
Husika na kichwa cha uzi naomba ushauri, pia na bei yake na kwa mbeya ni duka gani wana bei nafuu?
Naomba kuwasilisha.
Ukiwa na hela, kila kitu ni chepesiMkuu sidhani kama mtu anayesoma md hii anahitaji. Nishaona watu wanapiga computer science na computer engineering lakini wana pc za chini ya 1.5 M
Sent from my PBCM30 using Tapatalk