Mkuu ni 4gb.pia kuna data muhimu sana kwenye frash iyo.
OK hakuna jinsi baadhi ya vitu nilikuwa nimeviifadhi tayari isipokuwa mafaili mawili 2.tupa nunua mpya, iyo inakupa funzo sensitive data usiweke sehem moja
poa mkuu nitajitahidi nifanye hivyoUkiwa na data zako muhimu jitahidi uhifadhi kwenye Cloud Storage, ni salama sana kwa 80% tofauti na hizi Second Storage Devices.
Tumia tool ya manufacture na format kwa low level, windows ama simu haiwezi flash vizuri kwa situation fulani fulani.nina flash ya GB 64, yenyewe nikijaribu kuformat inaonesha ina MB 8, hata kwenye disk management pia inaonesha ina MB 8, je kuna njia yoyote ya kutatua hii?
Ipo namna. Ngoja narudi..nina flash ya GB 64, yenyewe nikijaribu kuformat inaonesha ina MB 8, hata kwenye disk management pia inaonesha ina MB 8, je kuna njia yoyote ya kutatua hii?
Kama inakuwa detected, basi uwezekano wa kupona upo mkubwa na usalama wa data kurudi kwa 80%Wakuu natumaini ni wazima wote. Flash yangu ilianguka ikiwa kwenye DVD player hivo kupelekea kutokusoma. Naomba anayeweza kunirekebishia tuwasiliane.