Nakumbuka Sikh ya mazingira form one Pugu sekondari na Foadi akiwa form two alitutesa sana alitupamdisha kilima cha pond, simsahau. Mmh ukaguzi wa mabweni na mwl Mosha acha Bwana. Halafu kwenye mabanda ya MIFUGO na Majura, amestaafu yupo Mahuta
Yes, we should appreciate a peaceful transition in Zimbabwe, my hope that Zimbabwe will rise again and see maize, tobacco and bean production increases as I saw it in early 1990s. Big up Zimbabwean, no blood shed no violence. It never happen in Africa. The big lesson to leader for all leaders...
Sasa nimetambua kuwa watanzania baadhi yao hawajui sheria na taratibu zinazoendesha biashara. Wizara wapo sahihi kuchoma, tatizo ni nini. Kuna bidhaa ngapi fake zinateketekezwa tena za fedha nyingi, ifikie mahali tufikiri kwanza kabla ya kulaumu tu. Vifaranga hivyo ni vichache sana ukilinganisha...
Jifunze nini maana ya kuwa mkristo! Kuwa mkristo si kuzaliwa na wazazi au nyumba ya kikristo. Ni kuwa mwanafunzi wa Yesu kwa kumkiri kuwa Bwana na mwokozi wa maisha na kuyashika maungamo yote, na utabatizwa na Roho Mtakatifu, atakusaidia uendenende kwa Roho na kamwe tamaa za mwili hazitakuwepo...
The first thing to ask what is the church, if we can understand then we can answer the question. Not all congregation mentioning God and Jesus is the church!
Fasihi, kila na tafsiri take. Kwangu ni msichana maarufu kachumbiwa, lakini wazazi wa mwanaume bado hawajiridhia na kijana hataki kuwaudhi, binti katangaza ndoa, marafiki zake wanapa support mchumba hataki kuweka wazi juu msimamo wa wazazi wake.
Sheria inaseamaje? Ni hatari kuchanganya mambo haya, Mimi si lazima niwe mjumbe wa mkutano wa chama ndio nionekane napenda sana chama, mtaani kwangu niweza nikakisaidia chama bila tatizo kama ushauri, ujenzi wa chama etc. Walio nje ya utumishi hawaoni adhari, Rais acha kuwasikiliza hayo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.