Recent content by Abel Mtambuki

  1. A

    Vituko vya Maisha ya Boarding, Tukumbushane Tuliosoma Huko

    Nakumbuka Sikh ya mazingira form one Pugu sekondari na Foadi akiwa form two alitutesa sana alitupamdisha kilima cha pond, simsahau. Mmh ukaguzi wa mabweni na mwl Mosha acha Bwana. Halafu kwenye mabanda ya MIFUGO na Majura, amestaafu yupo Mahuta
  2. A

    Jinsi "wasaliti " wanavyoula CCM, huku wafia chama wakitoswa

    Politics is strategic game play it!
  3. A

    Zimbabwe ni mfano wa kuigwa kufanya mabadiriko bila vurugu,wale walionyang'anywa mashamba washangaa.

    Yes, we should appreciate a peaceful transition in Zimbabwe, my hope that Zimbabwe will rise again and see maize, tobacco and bean production increases as I saw it in early 1990s. Big up Zimbabwean, no blood shed no violence. It never happen in Africa. The big lesson to leader for all leaders...
  4. A

    Bila tija mshahara usiongezwe serikalini

    Si lazima kwenda Mi...be Dodoma
  5. A

    Wizara: Ni sahihi kuchoma vifaranga na utaratibu unatambulika kimataifa, yarusha lawama kwa waliosambaza picha

    Sasa nimetambua kuwa watanzania baadhi yao hawajui sheria na taratibu zinazoendesha biashara. Wizara wapo sahihi kuchoma, tatizo ni nini. Kuna bidhaa ngapi fake zinateketekezwa tena za fedha nyingi, ifikie mahali tufikiri kwanza kabla ya kulaumu tu. Vifaranga hivyo ni vichache sana ukilinganisha...
  6. A

    Wakristo wenzangu, kwanini tusiombe na sisi tuoe wake wanne?

    Jifunze nini maana ya kuwa mkristo! Kuwa mkristo si kuzaliwa na wazazi au nyumba ya kikristo. Ni kuwa mwanafunzi wa Yesu kwa kumkiri kuwa Bwana na mwokozi wa maisha na kuyashika maungamo yote, na utabatizwa na Roho Mtakatifu, atakusaidia uendenende kwa Roho na kamwe tamaa za mwili hazitakuwepo...
  7. A

    Mnakumbuka Miaka ya 80

    Naumbuka sana alipokuwa Sokoine nilikuwa form four Pugu, tulilia sana. Nakumbuka ulikuwa taarifa ya habari ya SAA kumi jioni
  8. A

    Kitendo cha Kanisa kufungisha ndoa ya Joti huku akiwa amenyoa mtindo wa kihuni ni sahihi?

    The first thing to ask what is the church, if we can understand then we can answer the question. Not all congregation mentioning God and Jesus is the church!
  9. A

    Mnakumbuka East African Airways?

    Tumebaki pia na AICC Arusha
  10. A

    WanaJF mnakumbuka hii hadithi? Sadiki na Chitemo

    Tukumbushie Manenge na Mandawa
  11. A

    Pete hailazimishwi, hujachumbiwa wee ushapost FB live na vijembe juu, mwanaume huyoo katokomea

    Fasihi, kila na tafsiri take. Kwangu ni msichana maarufu kachumbiwa, lakini wazazi wa mwanaume bado hawajiridhia na kijana hataki kuwaudhi, binti katangaza ndoa, marafiki zake wanapa support mchumba hataki kuweka wazi juu msimamo wa wazazi wake.
  12. A

    Ombi langu kwako Rais na Mwenyekiti CCM Taifa

    Sheria inaseamaje? Ni hatari kuchanganya mambo haya, Mimi si lazima niwe mjumbe wa mkutano wa chama ndio nionekane napenda sana chama, mtaani kwangu niweza nikakisaidia chama bila tatizo kama ushauri, ujenzi wa chama etc. Walio nje ya utumishi hawaoni adhari, Rais acha kuwasikiliza hayo!
Back
Top Bottom