Ni kweli math ni ugonjwa wa taifa zima hli somo wanfunzi wengi hawalipendi sijui ni kwasababu bi nafsi me hli somo nlipenda ila huwa lna nipiga chenga na mmi najaribu kupambana nlo hdi mwisho wa lyfu yngu
Kiukweli kwa upande mwingine tunaweza kusema serakali pia ilaumiwe koz huwa hawazingatii suala la elimu hasa vijjini hko ndo elimu inaptikana kwa tabu watto hutembea umbali mrefu kwenda shule na huchelewa kurudi nyumbni pia nakukosa muda wa kujisomea
Ni kweli vtbu vya nyambari ndo vna elezea kuhusu kuendelea kwa eurpen klko afrca ila kuna vtbu vingi sna vinavyo elezea kuhusu hyo maada aliyetka tuchangie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.