wakati idadi ya ufaulu wa wanafunzi kuingia kidato cha kwanza kuongezeka inashangaza kuona baadhi ya watoto kutojiunga na masomo hayo kwa awamu ya kwanza kwa kicngizio cha uhaba wa madarasa,na baadhi ya watoto hao wanatoka ktk mikoa mikubwa ikiwemo Dar es salaam,morogoro,njombe?katavi,dodoma,mtwara,mbeya na geita.ukizingatia kila mkoa una kiongoz mkubwa serikalini.kwa hili alaumiwe nani?