Recent content by Abdul Mluya

  1. Abdul Mluya

    FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

    Kama Soka ndio Caf wawe wanasema mapema Timu gani wanazitaka zicheze fainali Yanga wameonewa lile ni goli VAR kunufaisha Timu maana Shubamiti.......[emoji35]
  2. Abdul Mluya

    Rais Samia apokea ripoti ya CAG, deni bado ni himilivu. Mafao yazidi mapato ya mifuko ya hifadhi

    Ukiona chama hakipo kwenye orodha iliotajwa hapo juu ujue kimepata hati safi
  3. Abdul Mluya

    Siasa za bongo na hekaya za kale

    Ikiwa hali itaendelea kuwa hii basi siasa 2020 itazikwa haiwezekani wao wacheze sisi tupige makofi. Haiwezekani wao waseme sisi tusikilize. Haiwezekani wao waende sisi marufuku. Kwa mbaaaali naiona Tanzania mpya[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
  4. Abdul Mluya

    Tangulia Chipaka Rais wa TADEA, Historia imekuandika

    Nitaandika historia ya marehem Chipaka japo kwa ufupi na kwa yale niyowahi kuyasikia kutoka kwenye kinywa chake. Mzee chipaka alipingana na mwalimu nyerere kitazamo hasa hakukubaliana na jinsi ambavyo mwalimu alivyo kuwa anaongoza nchi. Mzee chipaka alimtaka mwalimu ajiuzuru jambo ambalo mkuu...
  5. Abdul Mluya

    Tangulia Chipaka Rais wa TADEA, Historia imekuandika

    TANGULIA MH CHIPAKA RAIS WA TADEA HISTORIA IMEKUANDIKA (R.I.P)KAMANDA. Nakumbuka pale ulipo niambia nyinyi vijana wa sasa acheni uoga nchi haikombolewi kwa kelele bali kwa vitendo hapa ngoja nimnukuu...... Mimi chipaka niliishi gerezani miaka 12 huku kila siku iendayo kwa mungu nikiwa...
  6. Abdul Mluya

    Makonda aporomosha matusi kwa mhariri wa gazeti baada ya kuulizwa kuhusu cheti chake cha Form four

    Kwa kutukana kwake inaonyesha kuna ukweli nyemelezi hapo Sent from my T1-701u using JamiiForums mobile app
  7. Abdul Mluya

    Madawa ya Kulevya na aibu ya Tanzania - Yatosha sasa!

    Kuwa ita polisi wasambazaji ni sawa hongera sana mkuu wa mkoa. Je nilini tutawaona wakiitwa polisi waleta unga? Maana haiwekani wakawepo watumiaji na wasambazaji wakakosekana waletaji ,mkuu wa mkoa fanya hima uwabainishe na ma papa hongera tumeona dagaa .......
  8. Abdul Mluya

    Unajua kuna tofauti ya Askari wetu kukamata Mwafrika, Mzungu na Muhindi?

    Nadhani wana mkamata mzungu kwa mtindo wa USA jeki......
  9. Abdul Mluya

    Hawa ndio watekelezaji wa "Figisufigisu" ya Uchaguzi wa Meya Ubungo na Kinondoni

    Kimsingi safari ya demokrasia bado ndefu sana vita hii ni ngumu sana tusikate tamaa tusonge mbele siku moja haki ita tamalaki
  10. Abdul Mluya

    KUTOKA VIKINDU: Polisi wapambana na majambazi, askari mmoja adaiwa kuuawa

    Hongera jeshi la polisi kwa uweredi wenu wa kupambana na uhalifu.
  11. Abdul Mluya

    Democratic party (DP)

    Dp haina tatizo na muungano wa vyama au chama chochote chenye malengo ya kuiondoa serikali ya ccm madarakani na ndio maana Dp ni sehemu ya waasisi wa Ukawa wakati wa bunge la katiba isipokua tu Dp ilitengwa na umoja huo bila taarifa yoyote ,kwa kua waliitana wao kwa wao bila kuishirikisha Dp na...
  12. Abdul Mluya

    Kwa uteuzi huu wa DC Longido, UKAWA wajiandae kupoteza Jimbo

    Tusubiri picha lianze tutamjua star ni nani ....
  13. Abdul Mluya

    Mwenge wa Uhuru upo kwa faida ya nani?

    Ningekua na uwezo mwenge ninge uchimbia shimo refu ambalo halijawahi kutokea ili kizazi kijacho baada yetu kisipate japo kuuona achilimbali kuusikia siupendi na haufai hata kidogo kuwepo
Back
Top Bottom