Jimmy George
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 1,733
- 1,645
Kwa ninavyohis jamaa kwa kutaka kuwaumbua wanaomsema angeshatuonyesha cheti chake siku nyingi
Roho mtakatifu amlinde sana , uzoefu unaonyesha yuko kwenye mdomo wa mamba .Mkuu..
Ndio hapo shida ilipo.
Mwenye jina na cheti yupo hai hapo Tabora..
Daudi kazi kuchomoka kwenye hii kadhia..
I wish I kudu be...
Eeee bhana mkuu , hii kitu niliwahi kuisikia hivi kumbe ni kweli jamani ?daudi bashite au kurumbembe
Kwani Gazeti linafuatilia veti vya wauza madawa?Hili gazeti limejipa kazi ya kusafisaha wauza madawa ya kulevya
Yy wakati anachafua watu alifuata maadili ya kazi?Jamani watanzania ni vizuri tukawa tunatoa taarifa zenye uchunguzi wa kutosha, pia ata kama ni mhandishi wa habari ni vizuri kufuata maadili ya kazi, ni vizuri kuuliza maswali yanayoendana na mada ya muda huo. Na nyie munao hoji vyeti vya wengine toeni vya kwenu kwanza, na pia
Hata mimi ukiniuliza vyeti vyangu, nitakupiga ngumi, Nipo bagamoyo navua
Ablessed hata mimi niliomba waliosoma nae wajitokeze, hakuna hata mmoja aliyejitokeza na kutaja tuu japo shule. Mtu hata angepata div zero jina lingeonekana.Waliosoma na huyu RC mbona hawajitokezi hasa humu mitandaoni. Yamkini madai ya vyeti fake yana ukweli ila najiuliza waliosoma nae wako wapi wasaidie kutupa ukweli wa hili. Mwanafunzi aliyepata zero sio rahisi kumsahau. Wadau wengine na wanaofanya kazi baraza la mitihani ñ, ,66ñtunawategemea tunawategemea wathibitishe matokea halisi
Patam apoHii ndio kazi waandishi walipaswa kuifanya ya kufuatilia ukweli wa jambo hili.Hongera sana mwandishi hata kama ametukana na ikibidi umshitaki.
Hakuna viongozi wenye sifa stahiki za uongozi katika serikali hii na kama wapi basi ni mmoja kati ya kumi ndugu yangu nadhan hujaligundua hilo bado walio wengi si viongozi sahihi bali ni malimbukeni wa uongozi na wale wenye viherehere kwa bosi waoSasa zile busara za viongozi ziko wap? swali dogo tu la elimu ya form four unaporomosha matusi?
kweli kabisa, kama wana hizo tuhuma mbona wasiseme muda wote wakati akiwa bado DC, mpaka alivyotaja mapapa ya Unga ndio mnaanza mara anamiliki mali nyingi, mara elimu mlikuwa wapi, acheni unafikiHili gazeti limejipa kazi ya kusafisaha wauza madawa ya kulevya
Ablessed hata mimi niliomba waliosoma nae wajitokeze, hakuna hata mmoja aliyejitokeza na kutaja tuu japo shule. Mtu hata angepata div zero jina lingeonekana.
Nimeuliza hapa Baada ya Dr.Kigwangala, Mwigulu, sasa ni zamu ya Makonda kuhusu jina, hii inaweza kuwa kweli au?
Baada ya kukosa majibu nikawaomba waliosoma naye sekondari wajitokeze lakini hakuna aliyejitokeza.
Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia...
Kimya hiki ni uthibitisho tosha sio kuwa alipata zero, bali I doubt if he really attended at all, ila nakiri ni jiniasi!.
Paskali
Halafu mkishajua anatumia cheti cha mtu ndio tutakuwa tumemaliza dawa za kulevya, kwa hiyo lengo ni kumuondoa madarakani ili asitaje watu, watanzania watu wa hovyo sana.naomba hili swala livaliwe njuga. may be kuna ukweli ndani yake