Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Wengi hawafahamu hili lkn lina mizizi yake tangu Ukoloni ni kwamba kuna tofauti ambavyo Polisi wanafundishwa jinsi ya kukamata Mhalifu, kwa mfano Polisi wetu hawawezi kumpiga tangayika jeki Mzungu au Muhindi bali tanganyika jeki ni kwa ajili ya mtu mweusi tu!
Hii ina historia ndefu tangu Ukoloni, jiulize ni kwa nini inaitwa tanganyika jeki na siyo Tanzania jeki!
Mtanzaia akipigwa tanganyika jeki!
Juakali akipigwa tanganyika jeki!
Mzungu akimatwa kistaarabu kabisa na Askari wetu!
Tanganyika jeki Kenya!
Hii ina historia ndefu tangu Ukoloni, jiulize ni kwa nini inaitwa tanganyika jeki na siyo Tanzania jeki!
Mtanzaia akipigwa tanganyika jeki!
Juakali akipigwa tanganyika jeki!
Mzungu akimatwa kistaarabu kabisa na Askari wetu!
Tanganyika jeki Kenya!