Abdul Mluya
Member
- May 28, 2013
- 47
- 25
Ikiwa hali itaendelea kuwa hii basi siasa 2020 itazikwa haiwezekani wao wacheze sisi tupige makofi.
Haiwezekani wao waseme sisi tusikilize.
Haiwezekani wao waende sisi marufuku.
Kwa mbaaaali naiona Tanzania mpya[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
Haiwezekani wao waseme sisi tusikilize.
Haiwezekani wao waende sisi marufuku.
Kwa mbaaaali naiona Tanzania mpya[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]