Soko la iphone limeshuka bei kwa sababu Iphone refurbished zimekuwa nyingi kuliko iphone halisi..asilimia kubwa ya iphone zinazouzwa kwenye nchi nyingi za Afrika ni refurbished ndio sababu nowdayz iphone zina matatizo mengi kwenye upande wa hardware kwa sababu sio Halisi japo zinafanya kazi kama...
inasadikiwa neno Kinondoni lilitokana na mpemba mmoja hivi alizama kisimani miaka hiyo,watu wakamrushia ndoo yenye kamba ili atoke sasa kiuno kikanasa kwa ndoo sasa akawa analia kiunoo ndooooniii..jina kinondoni likapatikana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.