Recent content by Abdul azizy

  1. A

    Serikali ipige marufuku matamasha ya fiesta

    INA UWEZO YA KUPIGA MARUFUKU BUNGE LIVE NA MIKUTANO YA WAPINZANI LKN SIO KWA UPUMBAVU HUO
  2. A

    Serikali inamuogopa Lissu?

    Na Rais halali wa zanzibar maali seif umemsahau
  3. A

    Ni kweli Rashford wa Manchester United katokea Zanzibar?

    Kama huyo ni gaidi jecha atakua nani
  4. A

    Kima asababisha vita vya kikabila nchini Libya

    Hatuna Amani wa sheni
  5. A

    Msaada: Hali imekuwa tete, masomo yamezidi kuwa magumu

    Usishangae kua magumu maana masomo yako unayo soma hayaendani na kazi utakayo pangiwa kwani utakuja kua mlinzi wa makonda ktk ofisi yake ya
  6. A

    Chini ya uongozi wa Magufuli tutaipoteza Zanzibar

    Kwani madini na gesi wazanzibar wao wamo
  7. A

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TRA na kuivunja Bodi

    Miongoni mwa moja tulilolisikia nilile la kupewa jecha tunzo
  8. A

    Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) yakusanya shilingi Trilioni 1.15 Mwezi Oktoba

    Usijali litasonga mbele muombee jecha uzima tuu kama mpaka leo unakula kwa Shemegi yako aliekuolea dada ako bwege wee uliyekua hujielewi
  9. A

    Je, kuna unafuu wa maisha? Sema Ndiyo au Hapana

    Hawakusikiliza maaoni ya wananchi bunge la katiba waje wasikilize maisha haya waliyo yakusudia wenyewe
  10. A

    Hizi sasa ni ndoto CHADEMA

    Unamkataba na mungu alie muumba kama atafika mwaka huo
  11. A

    Fedha za maafa kagera zakarabati shule ya ccm

    Sasa kama sio mpemba ndio apigwe na makonda
  12. A

    Fedha za maafa kagera zakarabati shule ya ccm

    Wamemmiliki jecha waje washindwe na shule
  13. A

    Fedha za maafa kagera zakarabati shule ya ccm

    Kama kumpiga warioba nikuoneana wivu hata mkapa yy aliwauwa wapemba mwaka 2001 lkn hakuna hata taifa moja lililo ona wivu ispokua kumlani na kumsema vibaya mpaka leo anapunguzwa nyama utasema yupi ktk bucha
  14. A

    Nilichokiona tangia Rais Dr. John Pombe Magufuli aingie madarakani

    Kashasema hakuna wa kumkosoa sasa wewe mbona unamkosoa alipo kosea
  15. A

    Hujuma Mtwara: Maalim Seif azuiliwa na polisi kuhudhuria mkutano wa vijana wa CUF (JUVICUF)

    Ingalikua hii hewa tunayo vuta wanatoa ccm ingalikua sote tusha kufa
Back
Top Bottom