Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,064
- 18,367
mapato yanayopatikana yanakwenda serkalini au kwenye chama?Na hiyo shule wanasoma watoto wa wana ccm tu?...nieleweshe kwa hoja cyo kwa ushabiki wa vyama.
mapato yanayopatikana yanakwenda serkalini au kwenye chama?Na hiyo shule wanasoma watoto wa wana ccm tu?...nieleweshe kwa hoja cyo kwa ushabiki wa vyama.
Shule ya sisiemu?? Ipi hiyo?? Na je kama ipo wanasoma kina nani??tusiliamini kisa limeandika usichopenda kusikia?
DislikedInakuaje mtu na akili zako unaliamini gazeti la Mwananchi? Kama ni habari ya kweli, hiyo shule wanasoma kina nani? Chadema hamuwezi pata kura za wananchi kwa mtindo huu maana mnaponda hii ila wananchi huko wanapeleka watoto wao kwenye hiyo hiuo shule, point mmapata wapi hapo??
Kama kumpiga warioba nikuoneana wivu hata mkapa yy aliwauwa wapemba mwaka 2001 lkn hakuna hata taifa moja lililo ona wivu ispokua kumlani na kumsema vibaya mpaka leo anapunguzwa nyama utasema yupi ktk buchaBavicha mtazeeka kwa wivu na roho mbaya
Mapato yapi?mapato yanayopatikana yanakwenda serkalini au kwenye chama?
Mbn hujawahi toa mchango hata siku moja maana huwezi msidia mtu kwani wewe mwenyewe hujitosherezi na huwezi kujisimamia unatumika na mbowe kwa kila kitu utawezaje kuchangiaHii inazidi kuimarisha msimamo wangu wa kutokutoa mchango wowote tena wa kusaidia waathirika wa maafa
Hivi huwa hamuoni mnatenda dhambi za uongo? Ccm inamiliki shule wapi? Mwogopeni mungu wenu ndugu zangu mn siasa za kinafki zitatupeleka pabaya.
Warioba sio mpemba, kumbuka hilo ndugu aziza.Kama kumpiga warioba nikuoneana wivu hata mkapa yy aliwauwa wapemba mwaka 2001 lkn hakuna hata taifa moja lililo ona wivu ispokua kumlani na kumsema vibaya mpaka leo anapunguzwa nyama utasema yupi ktk bucha
Wamemmiliki jecha waje washindwe na shuleHivi huwa hamuoni mnatenda dhambi za uongo? Ccm inamiliki shule wapi? Mwogopeni mungu wenu ndugu zangu mn siasa za kinafki zitatupeleka pabaya.
Majungu sio mtaji ila ninavyojua mimi shule zote zilizoharibiwa zimepewa fedha ya ukarabati nothing else. Mi natokea huko mkuuKama hujui kama CCM inamiliki shule basi hustahili kuwa member wa JF nenda kaceze kigodoro ndiyo saizi yako.
We kiboko.una bishana hadi na GAZETI.Hivi huwa hamuoni mnatenda dhambi za uongo? Ccm inamiliki shule wapi? Mwogopeni mungu wenu ndugu zangu mn siasa za kinafki zitatupeleka pabaya.
Tuwekee nakala mkuu, wengine tuko mikoani ambako magazeti yanfika after 2 days. Jazia nyama habari ikae vzr.chanzo: gazeti la Mwananchi Leo 20/11/2016
Hii nayo ni miongoni mwa miundombinu ya serikali?
Hapa kazi tu
Uko Tanzania kweli wewe? Hujui kama CCM inamiliki shule?Hivi huwa hamuoni mnatenda dhambi za uongo? Ccm inamiliki shule wapi? Mwogopeni mungu wenu ndugu zangu mn siasa za kinafki zitatupeleka pabaya.
Wewe utakuwa unatokea dodoma. wanaotoka huko wanafahamika. hujui shida tunazozipata huku wewe mnyamaanga.Majungu sio mtaji ila ninavyojua mimi shule zote zilizoharibiwa zimepewa fedha ya ukarabati nothing else. Mi natokea huko mkuu
Unauliza kwa mkoa wa kagera au Tz nzima hujui kama CCM ina miliki Shule za sekondari?Hivi huwa hamuoni mnatenda dhambi za uongo? Ccm inamiliki shule wapi? Mwogopeni mungu wenu ndugu zangu mn siasa za kinafki zitatupeleka pabaya.
Povu la nini sasa.Shule ya sisiemu?? Ipi hiyo?? Na je kama ipo wanasoma kina nani??
Si ajabu taaluma ya uandishi inafanyiwa mabadiliko, waandishi njaa na wasiotumia logic tamati yao imefika.
Alafu mi sio Mbowe, sikushikii akili hivyo ni uamuzi wako kuliamini au la!
Mkuu kama hujui ccm inamiliki shule basi elewa kuanzia leo kuwa ccm inamiliki shule kibao nchini ambazo zilijengwa na wananchi kwa lugha ya shule za wazazi. Baada ya kuingia kwa mfumo wa vyama vingi chama hiki kikongwe kilijimilikisha ikiwa ni pamoja na viwanja vya michezo na vitu vingine kibao.Hivi huwa hamuoni mnatenda dhambi za uongo? Ccm inamiliki shule wapi? Mwogopeni mungu wenu ndugu zangu mn siasa za kinafki zitatupeleka pabaya.
Kwa upeo wako mdogo unaona habari hiyo ina mapungufu? Na si ajabu mwandishi aliyeandika hiyo habari ana uwezo wa kukulisha wewe na vitegemezi vyako! Kwanini mmechagua kujitia upofu hata katika mambo ya msingi? Kwa akili yako ya kilumumba unaona ni sawa fedha zile zikatumike kujenga shule inayomilikiwa na CCM?Shule ya sisiemu?? Ipi hiyo?? Na je kama ipo wanasoma kina nani??
Si ajabu taaluma ya uandishi inafanyiwa mabadiliko, waandishi njaa na wasiotumia logic tamati yao imefika.
Alafu mi sio Mbowe, sikushikii akili hivyo ni uamuzi wako kuliamini au la!