mkuu unapenda kubishana, majeshi dunia nzima yanafanya mazoezi, kuna mengine yanaenda nchi jirani au nchi rafiki kufanya mazoezi ya pamoja. jivunie chako japo kidogo usiwe mtumwa
wa afrika tupo very inferior na asili yetu nahis hili linawapa nguvu weupe kutudharau na kutudhihaki.
sometimes nahisi sisi ndo tunakua more recist than whites, tunapenda kujitofautisha nao wakikaa pembeni wakijitofautisha na sisi tunawaita wabaguzi
mkuu kwa upande wangu naskiliza sana country and rock music ku maintain hustle zangu coz i have a plan to live in a country house with my family nikitimiza 50 years old, currently my company is 1 year old najaribu kuweka structure ifanye kazi kwa ufasaha hata nisipokuwepo ili niweze kutimiza...
The wolf of wallstreet
American Gangster
The social network
Branded
The Natorious BIG
Straight Outta Campton
The Godfarther
The last Don
Road to perdition
kama Kim Jon Un wa North Korea alivyowakataza watu wake kunyoa mtindo wake wa nywele subirini mtangaziwe ni marufuku kutumia maneno JPM mahala popote na wala msiwaite watoto wenu Magufuli
kuahirishwa hili swala na Tulia na kurejeshwa tena na spika sio bahati mbaya, ni plan kupata muda kuweka mambo sawa... litapita kama yalivyopita mengine tusitegemee chichote
kama muislamu ni haramu kwani ni aina ya ushirikina, kitambaa hakina uwezo wa kukuzuia na lolote, je mtoto alivyokua tumboni nani alikua anamlinda? muamini mungu peleka mtoto hospitali apate chanjo husika
hizo phase za ufanikishaji miradi ndo Tanzania na Africa hatuziwezi tunataka kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja bila strategies na wala hakuna wa kuuliza thats why we end up achieving nothing
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.