Mtatiro: Lipumba alisaliti chama tangu zamani, alimsaidia Kikwete uchaguzi wa 2010

Nkobe

JF-Expert Member
Feb 17, 2013
2,162
3,162
Mtatiro akizungumza katika Clouds FM, anasema Lipumba ameanza usaliti wa chama tangu zamani. Anasema wanazo clip za mwaka 2010 ambapo Lipumba alisema alipoona jahazi linazama "yaani Kikwete akielekea kushindwa na Slaa" ilibidi aingilie kati ili kuokoa jahazi.

Lipumba aliamua kuisaidia CCM wakati na yeye akiwa mgombea Urais kupitia CUF.
 
Mtatiro akizungumza katika Clouds fm, anasema Lipumba ameanza usaliti wa chama tangu zamani. Anasema wanazo clip za mwaka 2010 ambapo Lipumba alisema alipoona jahazi linazama "yaani Kikwete akielekea kushindwa na Slaa" ilibidi aingilie kati ili kuokoa jahazi. Lipumba aliamua kuisaidia CCM wakati na yeye akiwa mgombea Urais kupitia CUF.
Huku ni kutapatapa kwa huyu MTATIRO......HIVI MTU MSALITI MLISHINDWA NINI KUMFUKUZA SIKU ZOTE HIZO??????.....Hii gemu na LIPUMBA inataka busara sana..Vinginevyo wataumia wao
 
Mtatiro akizungumza katika Clouds fm, anasema Lipumba ameanza usaliti wa chama tangu zamani. Anasema wanazo clip za mwaka 2010 ambapo Lipumba alisema alipoona jahazi linazama "yaani Kikwete akielekea kushindwa na Slaa" ilibidi aingilie kati ili kuokoa jahazi. Lipumba aliamua kuisaidia CCM wakati na yeye akiwa mgombea Urais kupitia CUF.
Kwanza kabisa ili kujua kweli ni msaliti wa Chama pamoja na upinzani kwa ujumla wake ni kitendo cha yeye Kama msomi kujiuzulu mwenyewe, alipoona kujiuzulu kwake hakukiathiri chama badala yake kimezidi kuimarika, anakuja na kituko anachokiita KUTENGUA KUJIUZULU. Where in the world did you see someone resigning from a position willingly and attempt a comeback by himself? He must have an evil agenda against the Party!
 
Mtatiro akizungumza katika Clouds fm, anasema Lipumba ameanza usaliti wa chama tangu zamani. Anasema wanazo clip za mwaka 2010 ambapo Lipumba alisema alipoona jahazi linazama "yaani Kikwete akielekea kushindwa na Slaa" ilibidi aingilie kati ili kuokoa jahazi. Lipumba aliamua kuisaidia CCM wakati na yeye akiwa mgombea Urais kupitia CUF.

Hilo nalo nililisubiria lisemwe juu ya huyu Profesa msaliti!!!!!!!!!!! Hajaanza mwaka jana. inaelekea kumekuwepo na mfungamano wa CCM na huyu jamaa muda mrefu.
 
Kupakana matope tu, kwahio walisubiri nini toka kipindi hicho ilhali wanao ushahidi??
Awakuona sababu kwa vile alishajiudhuru ndiyo mana wakampotezea na kuamua kumtunzia heshima lakini kwa vile yeye amekua jituzima ovyo basi hamna namna sasa ni kumchana tu live mzee wa kodo.
 
Kwanza kabisa ili kujua kweli ni msaliti wa Chama pamoja na upinzani kwa ujumla wake ni kitendo cha yeye Kama msomi kujiuzulu mwenyewe, alipoona kujiuzulu kwake hakukiathiri chama badala yake kimezidi kuimarika, anakuja na kituko anachokiita KUTENGUA KUJIUZULU. Where in the world did you see someone resigning from a position willingly and attempt a comeback by himself? He must have an evil agenda against the Party!
hii issue ya kutengua kujiuzulu ni kwa hisani ya Tanzania pekee,sijawahi ina mtu anajiuzulu willingly then anarudi tena ku claim the same position.
 
Aah bhana! Prof. Lipumba hawezi kumsaidia Kikwete jamani kushinda uchaguzi manake kama anao uwezo huo si angejisaidia mwenyewe kushinda. Hii ni sawa na kusema Mrema kamsaidia JPM acheni utani.

Carry haiwezi vuta Scania bhana Mtatiro asimung'unye maneno kama hawamtaki hawezi watoe sababu za maana na zenye mshiko.
 
Mambo anayofanya Lipumba ni aibu hata kuyawaza tu!! Mtu ulishaandika barua ya kujiuzulu ukakimbia kwa kusema "Yamenishinda" na ukaita waandishi wa habari kwa mbwembwe zote. Leo unarudi kulekule yalikokushinda kufanya nini tena??
CUF kwanza wanamchelewesha sana! Ningekuwa mimi ningeenda kumtoa huko ofisini akiwa uchi nimtembeze kutoka Buguruni hadi shule ya Uhuru Kariakoo.
 
Tangu nijiunge na chama cha CUF nimekuwa nikimfahamu mtatiro tangu akiwa naibu katibu mkuu cuf

Leo katika kipindi cha power breakfast nimemsikia akimtupia madongo profesa lipumba tangu agombee uraisi chama kimekuwa amekuwa ni mtu wa kushidwa.

Sasa swali langu kwa mtatiro tangu nimfahamu amegombea ubunge karibia mara nne ,

Alianza kugombea jimbo la musoma mwaka 2000 kupitia cuf,

Akaja kugombea mara ya pili ubunge musoma mwaka 2005 kupitia cuf ,

Akaja akagombea ubunge jimbo la ubungo kupitia cuf
mwaka 2010.

Akaja kugombea tena jimbo la segerea mwaka 2015 chini ya huo ukawa akashidwa.

Swali langu mtatiro kama ubunge tuu ulishidwa mara hizi zote utawezaje huo uenyekiti ,

Umekuwa ukizungumzia ukawa umewafaidisha cuf kwanini wewe haukufaidishaa ,

Hivi umesahau majimbo yote aliyoshinda cuf chadema nao waliweka watu wao kasoro tuu lile jimbo la tanga mjini, temeke na kinondoni ...........

Swali langu kwako mtatiro ni lini na wewe utakuja kushinda ubungeee
 
2010 mpaka leo? Leo ndio wanaona, very interesting. Ile kauli ya 2010 ilikuwa msimamo wa CUF. Ndio maana hakuchukuliwa hatua zozote
 
Back
Top Bottom