Sera ya Magufuli kutosafiri ni nzuri kubana matumizi, tukifuatilia kwa karibu sana mapato ya Tz kwa mwezi kusema ukweli binafsi bado naona yako chini sana, trillion 1.1 or 1.2 hii pesa ni kidogo sana, hii pesa ukitoa mishahara na kulipa videni kwisha kazi, na safari za Raisi zinaandamana na watu wengi, hivyo gharama ni kubwa, kwa hilo Kenya wangelimuelewa tu Magufuli. Ni raisi kuelewa , wala sidhani kama uhusiano umeteteleka baina ya Tz na Kenya, sema Kenya automatically huwa wana matatizo sana ya uelewe ambao umejificha kwenye lugha, hao wakenya walifuatilia vizuri sana sera za magufuli kwenye uchaguzi, na wakenya wengi walikuwa so impressed sana na upande wa upinzani wakijua ccm mambo yao ni yale yale hata Magufuli alipokuwa anasema atafuta safari zote za nchi walijua hili ni wazo la kuomba kura na hakuna utekelezaji, hivyo majority Kenya walikuwa wanasupport upinzani (chadema )ambalo sio jambo baya ni mtazamo ,lakini uchaguzi umekwisha na Magufuli anatekeleza alichokuwa anasema katika kampeni cha kutosafiri ,hata mkutanoa wa Afirica-China uliofanyika SA hakwenda, huu wa Japan hakwenda na mingine mingi sasa hao hao tena wanaanza kulalamika kuwa Magufuli snubs Kenya, sasa ufuatiliaji wenu katika maswala ya siasa na kuwa na media hizo zote bado hamjui sera za kiongozi aliyechaguliwa?
EAC, Hii jumuiya sio ya Kenya, ni jumuiya ya nchi kazaa ambazo kwa pamoja ndo zinaamua jambo kwa maslahi ya wote, sikuhizi kuna mambo yameibukia ya yanaitwa lobbying , jambo ambao ambalo halina maslahi kwa wanachama wengine lakini lina maslahi kwa mwanachama mmoja watu wanaanza kucampaign ili liweze kuungwa mkono, hii ni kua jumuiya, utajikuta unavyotafuta wapambe unashindwa unabaki kunyooshea vidole wanacha wengine, mostly likely katika Jumuiya hii imeshakuwa Tz is reluctant , how? kitu kizuri leteni tujadili kwa pamoja tukubadiliane kama jumuiya, sio tu basi mimi nataka kupiga dili fanyeni fasta tukubaliane tufanye hii kitu, so kwa nini usiingie kama wew? utasikia wanasema ni lazima uingie kama jumuiya ,tunaingia kama jumuiya sio kwa sababu ni lazima ila kwa Africa kuingia kama nchi moja hakuwanufaishi EU, china mwanzo iliingia na jumuiya ya Ulaya kama china, tena iliwekewa vikwazo kibao ikafika mahali china ikawa inangia na nchi moja moja za ulaya, ndo juzi kati imekubaliwa yenyewe kama china kuingia makubaliano na jumuiya nzima ya ulaya, sasa kama Kenya economy is superpower iweje utafute support? hapo ni jibu moja hakuna biashara ya maana ambayo jumuiya ya EU itanufaika ikiingia na nchi moja kama Kenya, wao wanajua mbali na maua ambayo 80% ya mashamba ya maua yanamilikiwa na raia wa kigeni tena hao hao wazungu wanajirekebishia tu masharti waweze kuuza kwa bei chee ulaya hakuna kingine cha zaidi Kenya inaweza uza, Lakini hao hao EU uatashangaa wanaweza ingia na EU na nchi kama Nigeria au SA .