Kwanini tunampoteza Kabila Kwa sababu ya Kagame?

Kwanini tunampoteza Kabila Kwa sababu ya Kagame?

Mi nilifikili tunapojenga reli ya kati kwa sgr wateja wetu wakubwa ni Burundi Rwanda na Dr Congo au?
Mkuu Congo na Rwanda wana mgogoro wa mda mrefu wa waasi wanafadhiliwa na Rwanda kuwepo Congo sasa unaposhirikiana na Rwanda automatically utakuwa unawafadhiri waasi kuisumbua serikali ya Congo
Na Congo haiwezi kukuvumilia kibiashara
 
rwanda na kongo wote tulikuwa tunafanya nao biashara lakini kongo ni potential zaidi kibiashara kwa maana ya mizigo yao ni mingi kuliko kongo,sas toka mkuu alipoingia na kuwa karibu sana na rwanda mizigo ya kongo imepungua sana yawezekana sababu ikawa ni hiyo maana kwenye ukanda huu watu hawaaminiani kabisa
Swali hii mizigo inapitia wapi kama imeacha kupita kwetu?
 
View attachment 397504View attachment 397505

Kama ni kweli Rais wetu anamsikiliza Paul Kagame kama mshauri wa baadhi ya mambo hasa swala la kuifufua ATCL na Bandari naamini Kagame bado ni Tatizo na atakuwa na masilai binafsi na si vinginevyo!!

Kagame pamoja na kushinda kwenye Mijadala ya kimataifa akiongelea maswala ya uchumi kama " Global Economic Forum"
Lakini bado anashauri ushauri wa kizamani kabisa kujenga mfano swala la kujenga Reli (standard gauge) kwenda nchini kwake nchi ambayo ina watu kama 10milioni+

Baada tungefufua reli ya TAZARA ambayo ingeweza kuwafikia watu zaidi ya 150milion+ kutoka Zambia, Malawi, Zimbabwe na nchi zingine !!.

Hilo lingefanya bandari yetu iweze kuwa busy kuzihudumia nchi zaidi ya 10 Kusini mwa Jangwa la Sahara kuliko sasa!!

Ambapo hata Kongo imeanza kututilia shaka kutokana na Urafiki wetu na Kagame Kwa sababu wakongo wanajua kabisa huyu jamaa huwa anataka urafiki wa masilai kwa nchi yake !!

Sasa nikisema Kagame anaihujumu bandari yetu nitakuwa nakosea ? Kwani mkumbuke bandari yetu jamaa alishaitaka toka zamani Kwa kutoa maneno ya kejeli kwa Rais mstaafu?

Nikisema reli itakayojengwa itatumia garama kubwa kwa manufaa ya watu wachache nitakuwa nimekosea?

Nikisema uhusiano wetu na Congo umepungua baada ya kumkaribisha Kagame nitakuwa nimekosea?

Tuache unafiki Kagame anayajua haya yote na alikuwa na wivu sana enzi za Kikwete lakini sasa hivi atakuwa akijifungia anatuchekea sana!!

Kwanini Rafiki yetu asiendelee kuwa Rais wa Kongo kuliko Kagame !!

Yaani unapoteza nchi yenye watu milioni 80+ na kuikumbatia nchi yenye 10milion+ alafu unategemea biashara?
Mmmh
 
Mkuu Congo na Rwanda wana mgogoro wa mda mrefu wa waasi wanafadhiliwa na Rwanda kuwepo Congo sasa unaposhirikiana na Rwanda automatically utakuwa unawafadhiri waasi kuisumbua serikali ya Congo
Na Congo haiwezi kukuvumilia kibiashara
ni kweli kabisa na mim naiona hiyo ndio tatizo
 
Kwa hiyo kwa kufanya biashara na Rwanda maana yake tunajitenga na Congo? Nilijua kwamba kwamba hizi nchi zote zipo kwenye jumuia ya EAC na lengo ni wote baadaye tuje kufanya biashara pamoja.. Lakini kinachotokea sasa hivi wale members wa hii block walio tayari wanaunganisha nguvu wakati members wengine wanajipanga. Congo ataendelea kuwa mshirika wetu na pia tungependa na wengine wawe washirika wetu. Haya mambo ya kuzodoana zodoana na kutoaminiana ndo yanarudisha nyuma Africa. Congo bado haipo vizuri kimiundo mbinu kwa hiyo ni bora kuanza kushirikiana na wale walio tayari. Congo ni future potential ally bado ni sleeping giant..
Ndio maana yake Kwa sababu na sisi tutakuwa tunausiswa na Waasi wanafadhiriwa na serikali ya congo
 
kongo wanaweza kupitishia beira or darbun southafrica, watu ambao hawana ujanja ni burundi na rwanda kama si dar es salaam basi mombasa
kwa hiyo huna uhakika.. teh tehe teh. Maana umesema wameacha kupitisha Dar. Wamehamia kwingine.. Ingekuwa vyema mtu anayeleta claim kama hii mkuu akawa na stats za kuonyesha ni kiasi gani kimehama.. Tatizo hamna hizi data. Suala la wapi upitishie mzigo lina factors nyingi sana za kiuchumi si sulala la kuamua ghafla ghafla. Kwa hiyo mi nadhani tungekuwa tuna argu kwa stats zaidi. Ukweli namba ndo zinaongea ukweli...Tupunguze hisia na tutumie namba zaidi kujenga hoja zetu mkuuu
 
Hii analysis sijaielewa na kwanza kwa kuonyesha tu mtoa mada ni mtu asiye makini angalia hiyo population ya Rwanda. Ameshindwa hata kwenda Google kujiridhisha. Hapo tayari una question uwezo wake wa kujenga hoja vizuriii....
Achana na habari ya ku question sijui uwezo wa kujenga hoja ,hapo ni kipi ambacho hakijaeleweka ? Ukiachilia mbali hizo takwimu ,

Hata kama Rwanda ingekua na watu milioni 20 na DRC watu milioni 50 bado kuna logic kwenye andiko lake
 
Achana na habari ya question sijui uwezo wa kujenga hoja ,hapo ni kipi ambacho hakijaeleweka ? Ukiachilia mbali hizo takwimu ,

Hata kama Rwanda ingekua na watu milioni 20 na DRC watu milioni 50 bado kuna logic kwenye andiko lake
Turudi kwenye hoja....Tupunguze hisia na tusupport hoja zetu kwa namba za kueleweka...Bado uchambuzi unahitaji expansion..Pia kuna unsupported claim kwamba tumeidump Congo. Je unaweza ku prove hili? Congo is part of EAC. na kwenye EAC members wameanza initative ndogo ndogo kwa wale walio tayari. Je hii inamaanisha kwamba kwa kujenga reli na Rwanda tunawatupa Congo? Unaweza ku support hii claim kwe more detailed analysis maana ndo implication ya muanzisha thread..
 
kwa hiyo huna uhakika.. teh tehe teh. Maana umesema wameacha kupitisha Dar. Wamehamia kwingine.. Ingekuwa vyema mtu anayeleta claim kama hii mkuu akawa na stats za kuonyesha ni kiasi gani kimehama.. Tatizo hamna hizi data. Suala la wapi upitishie mzigo lina factors nyingi sana za kiuchumi si sulala la kuamua ghafla ghafla. Kwa hiyo mi nadhani tungekuwa tuna argu kwa stats zaidi. Ukweli namba ndo zinaongea ukweli...Tupunguze hisia na tutumie namba zaidi kujenga hoja zetu mkuuu
ukitaka namba nenda pale bandari ukawahoji,kamati ya bunge imekiri...wew bado unataka namba?
 
ukitaka namba nenda pale bandari ukawahoji,kamati ya bunge imekiri...wew bado unataka namba?
teh teh teh teh....Mama weeeee...kazi ipooo..Kamati ya bunge na bandari wamesema mzigo imepungua.. Hawajasema kwamba mizigo imepungua sababu wamehamia bandari nyingine ambapo wengi wenu ndo mnasema hivyo.. Mimi nakubali mizigo imepungua.. Lakini napata ukakais pale mtu anaposema sababu ni kwamba watu wamehamia bandari nyingie. Ukimuuliza atoe evidence ya kusupport claim yake ndo hivyo anaruka ruka.. Sasa tunajengaje hoja kwa staili hii? Nataka tuingie kwenye debate ya kisomi tuchangamshe ubongo tuache kuongea vitu ki layman...
 
teh teh teh teh....Mama weeeee...kazi ipooo..Kamati ya bunge na bandari wamesema mzigo imepungua.. Hawajasema kwamba mizigo imepungua sababu wamehamia bandari nyingine ambapo wengi wenu ndo mnasema hivyo.. Mimi nakubali mizigo imepungua.. Lakini napata ukakais pale mtu anaposema sababu ni kwamba watu wamehamia bandari nyingie. Ukimuuliza atoe evidence ya kusupport claim yake ndo hivyo anaruka ruka.. Sasa tunajengaje hoja kwa staili hii? Nataka tuingie kwenye debate ya kisomi tuchangamshe ubongo tuache kuongea vitu ki layman...
mim nimesema wamehamia kwingine mbona wew husemi sababu ni nin ya mizigo kupungua? unabaki na ngonjera tu
 
kwa hiyo huna uhakika.. teh tehe teh. Maana umesema wameacha kupitisha Dar. Wamehamia kwingine.. Ingekuwa vyema mtu anayeleta claim kama hii mkuu akawa na stats za kuonyesha ni kiasi gani kimehama.. Tatizo hamna hizi data. Suala la wapi upitishie mzigo lina factors nyingi sana za kiuchumi si sulala la kuamua ghafla ghafla. Kwa hiyo mi nadhani tungekuwa tuna argu kwa stats zaidi. Ukweli namba ndo zinaongea ukweli...Tupunguze hisia na tutumie namba zaidi kujenga hoja zetu mkuuu
Wanapitia msumbiji acha kujitoa ufahamu up ndio ukweli Radio France international imewahoji baadhi ya wafanya biashara?
 
View attachment 397504View attachment 397505

Kama ni kweli Rais wetu anamsikiliza Paul Kagame kama mshauri wa baadhi ya mambo hasa swala la kuifufua ATCL na Bandari naamini Kagame bado ni Tatizo na atakuwa na masilai binafsi na si vinginevyo!!

Kagame pamoja na kushinda kwenye Mijadala ya kimataifa akiongelea maswala ya uchumi kama " Global Economic Forum"
Lakini bado anashauri ushauri wa kizamani kabisa kujenga mfano swala la kujenga Reli (standard gauge) kwenda nchini kwake nchi ambayo ina watu kama 10milioni+

Baada tungefufua reli ya TAZARA ambayo ingeweza kuwafikia watu zaidi ya 150milion+ kutoka Zambia, Malawi, Zimbabwe na nchi zingine !!.

Hilo lingefanya bandari yetu iweze kuwa busy kuzihudumia nchi zaidi ya 10 Kusini mwa Jangwa la Sahara kuliko sasa!!

Ambapo hata Kongo imeanza kututilia shaka kutokana na Urafiki wetu na Kagame Kwa sababu wakongo wanajua kabisa huyu jamaa huwa anataka urafiki wa masilai kwa nchi yake !!

Sasa nikisema Kagame anaihujumu bandari yetu nitakuwa nakosea ? Kwani mkumbuke bandari yetu jamaa alishaitaka toka zamani Kwa kutoa maneno ya kejeli kwa Rais mstaafu?

Nikisema reli itakayojengwa itatumia garama kubwa kwa manufaa ya watu wachache nitakuwa nimekosea?

Nikisema uhusiano wetu na Congo umepungua baada ya kumkaribisha Kagame nitakuwa nimekosea?

Tuache unafiki Kagame anayajua haya yote na alikuwa na wivu sana enzi za Kikwete lakini sasa hivi atakuwa akijifungia anatuchekea sana!!

Kwanini Rafiki yetu asiendelee kuwa Rais wa Kongo kuliko Kagame !!

Yaani unapoteza nchi yenye watu milioni 80+ na kuikumbatia nchi yenye 10milion+ alafu unategemea biashara?

Labda nikuulize tu swali dogo sana hivi kwa mfano kusingekuwepo hiyo nchi ya Congo inamaana Tanzania ingekuwa masikini na isinge songa mbele kimaendeleo? Yaani " Jitu " kabisa kama Wewe unakuja humu kulia lia kwa Rasilimali za nchi za Wenzako wakati Wewe hapa hata tu nusu ya Rasilimali zako ambazo pengine kama ungezitumia vyema na kuwa na usimamizi nazo mzuri leo hii Tanzania ingeshindana na South Africa, Egypt na hata nchi baadhi za huko Ulaya na Wewe kuondokana na kumpa lawama Rais wangu mpendwa Paul Kagame wa nchi yangu ya maziwa na asali ya Rwanda.

Huwa sipendi kuwadharau baadhi yenu humu lakini kwa aina hii ya uwezo wenu mdogo sana wa kufikiri mliona hakika sitoacha kuwadharau na mtanisamehe kwa hili tafadhali. Najua argument yako juu ya hili ni too geographical than strategical. Umeona kuwa pengine Tanzania ingefaidika sana na Congo ya Kabila kwakuwa tu nchi yenyewe ni kubwa na ina Watu wengi lakini ukasahau kwamba inawezekana hawa Rwanda wakawa wadogo Kijiografia na kiidadi ya Watu lakini kimkakati wakawa na faida kubwa sana Kibiashara na Tanzania hata kuliko hao Congo.

Siku nyingine ukija humu na Mada zako jitahidi kwanza kufanya utafiti ili ueleweke vizuri na Watu ambao Mwenyezi Mungu alitubariki upeo mkubwa na akili nyingi tokea tukiwa hatujazaliwa. Kwa kukusaidia tu na nakuomba nenda pale Bandarini au maeneo mengi ambapo kuna Wafanyabiashara wa kutoka Congo ndipo utajua kuwa hawa Watu ni " mikosi ". Wakongo naturally ni Matapeli na Wasanii sana na hupenda mno " kitonga " a.k.a dezo dezo katika mambo yao mengi na hili halina ubishi kwamba katika Wafanyabiashara ambao waliichafua Bandari yetu ya Dar ni hawa wa Congo kutokana na Utapeli na Ujanja Ujanja waliokuwa wakiufanya hadi Mkombozi wetu Rais Dkt. Magufuli alipokuja na kuwadhibiti.

Rwanda inaweza kuwa ndogo na ukaidharau lakini kwa kukusadia tu na hili hata Watu wa TRA watakusaidia ni kwamba hakuna Wafanyabiashara ambao ni wakweli na wana nidhamu ya Kibiashara kama wa kutoka nchini kwetu Rwanda na labda badala ya kutudharau na kutudhihaki hivi kupitia Rais wetu Paul Kagame nadhani ungetuomba radhi na kutushukuru kwani Wanyarwanda hawajawahi kukwepa kulipa Kodi yoyote ile stahili katika Biashara zao wanazozifanya au kuzipitisha hapa Tanzania.

Hivi ni lini mtaishukuru Rwanda nyie? Rwanda tumewakosea nini? Mbona Mataifa mengine yanayowatieni Umasikini na bado mnayakumbatia tu hamuyasemi? Kuna chochote mnatudai Rwanda ili kama vipi tuwaombe Mkopo Wordl Bank na IFM ili tuwalipeni? Hivi ni kweli hakuna jema ambalo Rwanda tunalo na nyie Watanzania mnaweza kuliiga ili nanyi pia liwasaidieni? Rais Dkt. Magufuli kuonekana kumkubali Rais wetu Kagame ni dhambi? Nyie ni nani kumpangia Rais achague Marafiki? Mbona huyo " aliyestaafu " aliwakumbatia INTARAHAMWE na kuwa na ushikaji wa kupitiliza na Nkuruzinza lakini mlikuwa kimya hata pale tu nchi kubwa za Ulaya na Marekani zilipokuwa zinaishutumu Burundi na huyo Rais wake?

Please give us a break and mind your own business.
 
Back
Top Bottom