Bora uwambie, watz tuna shida sana, wanafikiri huko kwingine kuna usalama, mi sielewi watu wanawaza kitu gani.
Wakitaka chochote hamna cha voda, tigo ,airtel, halotel ,zantel ,ttcl kama kunanyingine mtaongeza. Watapata tuu Inategemea mlengwa yupo wapi (mtandao upi)