hii ndo shida ya wanawake hawako tayari kuwa wa wazi mume anakuawa mbali na ww huwezi kujizuia mwambie muacheni umpate mwenzi wako atakayekutimizia haja zako kila unapojisika
raisi wa ukrein anapata kiburi kutoka kwa america mwisho wa siku yy ndo anaathirika na uchumi wa nchi yake america wanashindwa kupeleka majeshi yao wanahofia kitakachotokea na maafa makubwa na rashia wako siriasi hawana utani kwa hili hata kama itamchukua muda mwingi kupigana lakini jambo lake...
tatizo wachezaji waliopo wengine hawastahili kuwa pale hii nd sababu kubwa ya kukosa matokeo ni sawa na baba haujui umuhimu wake ndani ya nyumba kila siku mtakuwa mnalala giza
kwa kuwa rwanda in raia wachache acha tu waongezewe watu ili wachangamane waachane na ukabila huu ni mpango mahususi sababu hawa jamaa wana ukabila sana sasa wakichangamana na watu wengine ukabila utaondoka pole pole good aidear
Kama ni kweli huyo brigedia kafanya hivyo hapo kachemka.
Kibali cha kazi ni miaka 2 una renwal tena 2 jumla miaka 4 hapo wazawa tayari wanakuwa washaelewa hiyo kazi
Na ndo maana serikali inataka epart mmoja aambatane na watu kumi ili hata mmoja kati hao kumi waweze kujua hiyo kazi pindi muda...
kweli huyo rais ni mtu wa vichekesho na raia wa ukrein nao hawakuwa na utimamu wa akili kumchagua huyo comedian
sasa acha wakione cha moto na bora akamatwe na majeshi ya urusi halafu ndo atalijua jiji
Kuyaondoa hayo maduka siyo haki kwani unakuta mgonjwa wako anahitaji dawa kwa haraka hospitali hakuna unakwenda hapo nje hakuna umbali mrefu unapata dawa wakati mwingine ni usiku mwingi kama duka lingekuwa mbali na ni usiku kuifuata dawa huko mbali
si unaweza kabwa na vibaka suluhisho la hilo...
ni udhaifu tu wa kufikiri tumkabidhi Allah maisha yetu mwanao uliyemzaa na kumlea akishafikia umri wa kujielewa unapomweleza kitu kwa faida yake hataki kuelewa matokeo yake anakutusi wala usimuadhibu muache mkabidhi kwa Allah kwa roho moja Allah atamuhukumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.