Huyu ni waziri au kopo? siamini kama anaweza kuwa na akili ya kipuuzi kama hiyo, kwanini asiulize hizo Hospitals kwanini hawana dawa kuliko kuvamia biashara za watu? Watu wanataka huduma nzuri sio siasa na misifa ya kijinga, sasa wanachoenda kufanya ni kuharibu biashara za watu na ajira za watu