Nimepeta angalau mwanga thnxs ila bdo sijaelewa iyo XenForo inaifanya forum kuwa kwa web na pia mobile application au wanafanyaje..naomba kama wanaona hii post watusaidie piah
Wadau nimevutiwa sana na muundo wa JamiiForums kuanzia interface na functionality yake.
Naomba kujuzwa imetengenezwaje kuanzia programming languages zilizotumika au ufahamu wowote juu ya ilivo be developed.
Na je ni wenyewe JamiiForums wametengeneza au kuna company hutengeneza?
Natanguliza...
Itakuwa njema kama mtu akitoa uzoefu kutokana maeneo anayofahamu
Mfano
Moro to dar
Moro to dodoma
moro to tanga
Xo maeneo ambayo una information nako itakuwa ok sana...shukrani
Wadau naombeni pata ushauri na uzoefu juu ya kufungasha mchele toka morogoro kwenda mikoani.
..Mchele unapatkani vipi.mtaji,.bei ya mchele..usafiri, faida na changamoto.
..natanguliza shukrani msaada wenu muhimu
Ni swali ninalojiuliza maranyingi kama linavyojieleza apo juu. Ni kivip mods wanapata pesa na mmiliki kiujumla. Pia nakosa ufafanuzi jinsi waanzilishi wa Mobile application wanapataje faida mfano..Telegram, Tubidy, Shazam na nyinginezo.
Msaada wadau wenu utasaidia sana .
natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.