duuh mara sec hiyo iwe siku ya nyama afu wewe ndo mgawaji unawahi sana kabla wenzako hawajafika unapiga 3 za fasta unatulia. zikipelea mnawekeana bifu na aliekosa
Natanguliza shukrani ya dhati sana kwa walioanzisha thread ya UFUGAJI KUKU ilianza mwaka 2009-2010 wakati huo milikua bado nanuka maziwa sikujua kama kuna siku moja nitatakiwa kuwa na maisha yangu.
Kifupi nilisoma thread zote zilizohusu ufugaji wa kuku wa kienyeji nilifata na nikajaribu kuanza...
kaka, kama hamna namna kabisa nenda tu kasome halafu utarudi
nakupa mfano wa broo wangu alipenda sana kusoma kilimo hakua na uwezo hapo mwanzoni akachaguliwa ualimu akasoma 3yrs akamaliza akaajiriwa kajikusanya zaidi ya 5yrs kapata pesa akaacha akaenda mwanza pale kuna chuo cha mifugo kasoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.