Recent content by 1992erick

  1. 1

    Crazy things you did in secondary school

    duuh mara sec hiyo iwe siku ya nyama afu wewe ndo mgawaji unawahi sana kabla wenzako hawajafika unapiga 3 za fasta unatulia. zikipelea mnawekeana bifu na aliekosa
  2. 1

    Vichwa Hivi vya Azania Viliishia Wapi?

    duuh 94 i was 2 yrs old. :shock::shock:
  3. 1

    Kwa hesabu hizi, Ushindi wa Lema Arusha ni 79%+. Uchaguzi ni Mchezo wa hesabu

    nawashauri ccm wasipoteze pesa zao tu kwa arusha mjini
  4. 1

    Niliwahi kuwa changudoa: Kileleni haihitaji baunsa wala tolu

    duniani kuna makubwa nisiyoyajua bora Mungu aendelee kunificha nisijue, sikuwah kuamini tz kuna watu watu wanachezeana.
  5. 1

    Nawapa UKAWA siku 7 watekeleze hili. Wakishindwa wasahau kura yangu

    wewe ni kama tone la maji liangukalo baharini
  6. 1

    Mrejesho wakuu, ufugaji wa kuku wa kienyeji

    Natanguliza shukrani ya dhati sana kwa walioanzisha thread ya UFUGAJI KUKU ilianza mwaka 2009-2010 wakati huo milikua bado nanuka maziwa sikujua kama kuna siku moja nitatakiwa kuwa na maisha yangu. Kifupi nilisoma thread zote zilizohusu ufugaji wa kuku wa kienyeji nilifata na nikajaribu kuanza...
  7. 1

    ALIYESOMA DEGREE YA SCIENCE EDUCATION(CHEM na BIOS ) ANAWEZA KUSOMEA MEDICINE

    kama uwezo anao mwache akasome, na kwa njia hii ndivyo tunavyoongeza idadi ya madaktari nchini
  8. 1

    Kama hutasoma kozi hizi unapoteza muda wako

    kila mtu atapita njia aliyopangiwa kupita na MUNGU.
  9. 1

    Ukweli Kuhusu Dini (Hasa Uislam na Ukristo)

    mbona hata watoto wanakufa mzee
  10. 1

    Msaada wa mawazo tafadhali, pamoja na ushauri

    omba ualimu kwanza mengine baadae
  11. 1

    Nifanye nini kutimiza malengo yangu

    kaka, kama hamna namna kabisa nenda tu kasome halafu utarudi nakupa mfano wa broo wangu alipenda sana kusoma kilimo hakua na uwezo hapo mwanzoni akachaguliwa ualimu akasoma 3yrs akamaliza akaajiriwa kajikusanya zaidi ya 5yrs kapata pesa akaacha akaenda mwanza pale kuna chuo cha mifugo kasoma...
  12. 1

    Yuko Chuo Kikuu ila anataka kurudia mtihani wa CSEE kama PC

    asante mkuu wangu. fanya kitu unachokipenda kutoka moyoni mwako sana
Back
Top Bottom