Israeli army says no ‘security incident’ in Eilat after reports of explosions
The Israeli army says there has been no “security incident” in its southernmost town of Eilat after it had earlier said it was looking into reports of explosions.
“From an investigation, it appears that no shots were...
Nyumba ya msanii Batuli aka Cleopatra yaungua moto akiwa kwenye uzinduzi wa kampeni. Hata hivyo hakuna mtu yeyote aliyepoteza maisha isipokuwa hakuambulia kitu chochote.
========
Msanii wa filamu nchini, Yobnesh Yusuph (Batuli)
- Nyumba hii ipo maeneo ya Mbezi Beach jijini Dar es salaam
Dr kama kweli wewe ndo umemjibu Yericko me nitakuwa wa kwanza kukudharau nilikuwa nakupenda na kuheshimu na umeisaidia sana chadema kufika ilipo,
Kweli yeriko kakosea huo unaouita uzushi, kwa hiyo na sisi tuamini gazeti hilo toka jana linavoandika?
Ni bora ungekaa kimya kwanza kama...
Chama cha Act kilikuwa na mkutano, lakin kwa bahati mbaya au kwa kuzamilia mmetuwekea picha tano, ya kwanza mpaka ya tatu sio za leo, ya nne na ya tano ndo za leo hiv kama kweli mnataka kuingia kwenye siasa na sisi tuwa support ya nini kuweka picha za zamani mkachanganya na za leo.
Jaman...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.