Kiganyi
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,242
- 765
Hivi, inawezekana Rais akamteua mtu katika nafasi kubwa kama ya Uwaziri bila yeye mteuliwa kujua? Na je, akifanya hivyo bila kukushirikisha wewe wala viongozi wako wa chama, utafanyaje? Utakataa uteuzi ili uwe salama ndani ya chama au utasema chama potelea mbali, uape na kupiga mzigo?
Mtu anayeteuliwa na kambi pinzani na kuridhia bila kuwashirikisha wakuu wake anaitwaje katika Kiswahili safi?
Mkuu,
Nani ameteuliwa??
Kuna tetesi zozote??