Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,816
Vijana wote wa CCM wako kazini kutetea Tawi lao la ACT.
Molemo accept the facts, we said mlituona wajinga......think tankers wa chadema mpaka ilipofika pale ni aina zito na prof Mkumbo. unless wewe sio frontier ndani ya chadema
Dealing with those people haikutakiwa wapayukaji kama akina Tundu Lissu, Godbless Lema na aina msigwa!! eti na za sugu!!
utaeneza chuki sana, utatumia nguvu nyingi, utatukana na kusonya, utauma meno....ila si kila unayemchukia wewe lazima achukiwe na wengine ndio siri na utashi ambao Mungu ametupa
Mbowe alitumia gharama kubwa mpaka kutunga hekaya za ajabu........ili zittto achukiwe ...lakini yako wapi?
wewe Molemo utaaandika sana habari za chuki; ila muda utakuonea aibu na kukutupa, uakimbia jukwaa
ukichukua siasa ni kama football game na timu yako imshindwa the best way ni kuangalia mmekosea wapi
Zitto kazaliwa 76 tu , ni mdogo mno na ana miaka mingi ya kuishi.....atasumbua tu, hata kama mtatumia gharama zote kumzimisha, ila ataamka tu
WIMBO WA MSALITI haulipi tena
Ninatamani sana, mbowe aseme....'zitto alienda kutoa siri hii na hii na hii kwa serikali, na CDM ikaathirika hivi na hivin na hivi'' hili hamuwezi kulisema wala kupima...............hatimaye kiasili wimbo wa usaliti unaanza kuchuja
November ACT itakuwa na wabunge wengi ( andika mahali) tena wengi kuliko chadema, kuliko nccr, kuliko cuf, etc.,ACT kitakuwa chama kikuu ch upinzani; chadema by then kitakufa tu...'maana hamna namna nyingine ya kukiokoa' kitakufa tu!
kwa nn? hamna mawazo mapya, hamna uongozi mpya, ni watu walewale, mawazo yale yale, wanafanya vile vile na kutegemea results tofauti???
Hivi kwa nini hata mara moja tukawa wakweli wa nafsi zetu kuwa Zitto alizushiwa yale kwa sababu ya mauongozi ndani ya chadema?
Hivi Lissu anajenga chama kweli??
Wimbo eti ni tawi la CCM....ni wa kujifariji tu..utachuja nao, andaa Lyrics za wimbo mwingine; utakosa utakaa kimya