CHADEMA Geita yasambaratika yenyewe

CHADEMA Geita yasambaratika yenyewe

kutishana ili msamehewe madhambi yenu huku cdm hakuna hiyo , kitendo cha kutishia tu kuhamia ACT ni usaliti .
 
Akwende haraka sana..!!!

Upumbavu wa namna hiyo haupaswi kufumbiwa macho hata kidogo. Mambo ya kusubiri kubebwa tuwaachie ccm, kama anajiamini kwamba anaweza kushinda kura za Maoni anakimbia nini sasa? Yeye kashajipima na kuona hawezi ndiomaana anajaribu kutengeneza mtafaruku huko Geita, Ila sijui kama wananchi wa huko wanaweza kuyumnisshwa na watu wawili sidhani.

BACK TANGANYIKA
 
Aliyekuwa mgombea wa ubunge jimbo la Geita mjini, Bwana Rojas Ruhega, na katibu chama hicho jimbo hilo, wameanza harakati za kujivua uanachama wa chama hicho ili wajiunge na chama kingine cha siasa kabla ya uchaguzi mkuu.

Wanachosubiri ni maamuzi ya utatuzi wa migogoro. Kama hawatatendewa haki watahamia ACT Wazalendo.
Rojas anadai amewasiliana na viongozi wa ACT na wanamtarajia sana kwani itakuwa tiketi nzuri sana kwa ushindi wao jimbo la mjini

Bwana Rojas anausubiri uongozi wa chama hicho taifa ufike Geita ili ajiengue na kuhamia ACT. Hakuna Chadema Geita, tena wanaelekea kuzimu.

Mbona kama huyu jamaa ana tabia za Kisaliti vile, mara anasubiri utatuzi wa mgogoro, mara ACT wananisubiri. Kama ni kweli amenena haya, Ni kumfukuza uanachama sio tu kumuengua.
 
Chadema ni taasisi na sio Rojas😛
Utaratibu wote wa kumpata mgombea wa Geita utafuata taratibu zote za kichama na mshindi atapatikana kihalali

Chadema hakuna demokrasia ya kweli, kila jimbo ni mgogoro tu, Same, Tarime, Geita,Kahama na kwingineko hili sio li chama ni genge la wasaka tonge, we uliona wapi watu mnajigawia majimbo as if wale wananchi huko ni midoli yaani watawachagua watake wasitake! shame on u!Tamaa ya madaraka itawamaliza.
 
Sio kweli mleta mada ni muongo logers wala hana nia ya kuhamia ACT mimi nipo Geita.
 
Akaungane na wasaka tonge wenzake huko act, cdm ni taasisi kubwa.Kajistukia kuwa hawezi toboa kwenye kura za maoni sasa anaweweseka
 
Siasa sio kukurupuka, kuna taratibu na kanuni zake na ukikosea unajipoteza completely. Awe mwangalifu cdm n taasisi
 
haiwezi kutokea na haitatokea Rogers luhega ninaemjua mimi aende ACT huyomtoa maada tunamfaham ni mke wa MANGILIMA nahisi katumwa na mmewe maana tangu asimamishwe uongozi wa jimbo hapati tena posho kutoka kwa mmewe wengine waliolewa na MISALABA baada ya posho kuisha waliham




Kama ni uzushi namtakia kila la kheri. Lakin kama anataka kuondoka kweli hana haja ya kutuambia. Aondoke!
 
Aliyekuwa mgombea wa ubunge jimbo la Geita mjini, Bwana Rojas Ruhega, na katibu chama hicho jimbo hilo, wameanza harakati za kujivua uanachama wa chama hicho ili wajiunge na chama kingine cha siasa kabla ya uchaguzi mkuu.

Wanachosubiri ni maamuzi ya utatuzi wa migogoro. Kama hawatatendewa haki watahamia ACT Wazalendo.
Rojas anadai amewasiliana na viongozi wa ACT na wanamtarajia sana kwani itakuwa tiketi nzuri sana kwa ushindi wao jimbo la mjini

Bwana Rojas anausubiri uongozi wa chama hicho taifa ufike Geita ili ajiengue na kuhamia ACT. Hakuna Chadema Geita, tena wanaelekea kuzimu.

Kwa taarifa yako CDM sio one man show na hapo ndo utakubali, kinatoka kichwa kinaingia kichwa, huwa tunasema ukitaka kapigane au kama unampenda kamnunulie chai au hutaki unaacha.
 
Aliyekuwa mgombea wa ubunge jimbo la Geita mjini, Bwana Rojas Ruhega, na katibu chama hicho jimbo hilo, wameanza harakati za kujivua uanachama wa chama hicho ili wajiunge na chama kingine cha siasa kabla ya uchaguzi mkuu.

Wanachosubiri ni maamuzi ya utatuzi wa migogoro. Kama hawatatendewa haki watahamia ACT Wazalendo.
Rojas anadai amewasiliana na viongozi wa ACT na wanamtarajia sana kwani itakuwa tiketi nzuri sana kwa ushindi wao jimbo la mjini

Bwana Rojas anausubiri uongozi wa chama hicho taifa ufike Geita ili ajiengue na kuhamia ACT. Hakuna Chadema Geita, tena wanaelekea kuzimu.
you are lacking premisses to make undoubtely story!
kajipange tena!
 
Unamtisha nani wewe rogers?
Mkuu si uondoke tuu povu la nn sasa? mara nawasubiri makao makuu wasiponisikiliza nahamia ACT???

chadema geita inawatia Nia zaidi ya kumi (10)
~Mangilima
~bwire
~misalaba
~opulukwa
~kimisha sukambi
~Upendo
~Japhet
N.K sasa wewe kama umejipima ukaona upo maji ya shingo usituletee ujinga wako hapa nenda huko ACT kwa WAHA wenzio akina --------...

chadema Geita tunajianda kushinda ubunge kwa kishindo,
chadema Geita tunajianda kushinda viti vys udiwani kwa kishindo na kuongoza halmashauri.

cc Lutubija
 
Last edited by a moderator:
In many developing countries today, its a bad lucky to say that, many people don't know what is politics, what they know is all about conflicts initiations, misunderstandings and fightings and I hope there is every reason to teach people to know politics first, learn the ethics of politics and what it is all about in combinations of, before they get into any political party, i wish people should be good analysis, at times even those who are called leaders of this political parties, they forget many things among those things is that don't think globally and act globally, what they do is that they tend to think very locally and act very locally too, this is very bad to mention anyway, a good taker of politics is that one whom he before acting in any take politically, he must have analysed both social, political, economic and cultural environments in the areas of benefits and even effects, without forgetting the historical backgrounds of many facts and the future effects of his take, and therefore i wish every politician should be learned enough not only be educated because that's not enough at all, what is your political take today? check that take ma advice
 
Wanachama kama hawa ati anaama chama kisa kakakosa anachotaka kwa chama ni njaa na ulafi tu hawa hata kama ni laki moja waende tu tena watokomee mbali hawana faida. JINGA SANA,
 
Aliyekuwa mgombea wa ubunge jimbo la Geita mjini, Bwana Rojas Ruhega, na katibu chama hicho jimbo hilo, wameanza harakati za kujivua uanachama wa chama hicho ili wajiunge na chama kingine cha siasa kabla ya uchaguzi mkuu.

Wanachosubiri ni maamuzi ya utatuzi wa migogoro. Kama hawatatendewa haki watahamia ACT Wazalendo.
Rojas anadai amewasiliana na viongozi wa ACT na wanamtarajia sana kwani itakuwa tiketi nzuri sana kwa ushindi wao jimbo la mjini

Bwana Rojas anausubiri uongozi wa chama hicho taifa ufike Geita ili ajiengue na kuhamia ACT. Hakuna Chadema Geita, tena wanaelekea kuzimu.

Naamini kila mtanzania ana haki ya kujiunga na chama chochote akipendacho kwa wakati wowote. Nashindwa kuelewa hapa, kama tayari ameshawasiliana na ACT, sasa anasubiri nini hadi mgogoro utatuliwe? Yaani huyo tayari ameshakuwa na matamanio yake kwenda ACT, hata kama so called "mgogoro" ukitatuliwa utasadidia nini wakati alishaonyesha ni wapi panamfaa? Ni vema akawahi kukimbilia kule kabla hajachelewa. John Mgeja yuko mbioni kuhamia Geita akiwa timu B.

Kajipange upya na stori yako.
 
Back
Top Bottom