Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Jiko la gesi , mtungi na pipe zake.Limetumika miezi mitatu,bado lipo ktk hali nzuri. Bei:180000/- Location:Mbezi ya Kimara Nipigie-0759787679
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Viwanja vyenye ukubwa kuanzia 17.5 kwa 35 hadi 70 kwa 70 vinauzwa bei ni kuanzia mill 2 hadi 30 viwanja vipo Kawawa Pumwani Sango barabara ya Kilema Uchira na Njia panda tunauza pia maeneo...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Umofya kwenu, nahitaji chumba cha kupanga Sinza Mori maana pana potential kubwa sana kwa Dar bei 5000 mpaka120000 Asanteni
0 Reactions
4 Replies
920 Views
Habari, Msimu mpya wa mavuno ya mahindi mkoani Ruvuma (Songea) umeanza karibu ewe mfanyabiashara ofisini tukununulie mahindi kwa bei poa. Sisi tunayo ofisi songea mjini, tunavyo vifaa vya kazi...
1 Reactions
71 Replies
14K Views
Kama kichwa cha thread kinavyojieleza.Ninatafuta mbegu za mchongoma kwa ajili ya kupanda nyumbani kwangu ili iwe kama wigo.Nataka msimu huu wa mvua ndio niipande ili umwagiliaji uwe rahisi. Pia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
-Kiwanja kipo Kimara Temboni kwa Abas umbali wa km 2 kutoka Morogoro road -Kina ukubwa wa sqm 700 -Barabara zinapitika vizuri -Huduma za maji na umeme zipo -Mazingira jirani(neighborhood) ni...
0 Reactions
11 Replies
943 Views
Habari wakuu. Naulizia yoyote mwenye crane ya kukodi nahitaji kuna kazi ya kunyanyua kinu na kuweka kwenye base yake tu basi, ni crusher site. Kama upo nayo au unamfahamu mtu mwenye nayo...
1 Reactions
42 Replies
6K Views
Mitsubishi rosa.DQG 850.good on the road.engine 35 new.new tyre.insurance.vibali vyote halali.price 27m.call 0754 279035
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Nauza gari, mark 2 grande gx 110 Eng vvti-beams Bei milioni 6.9 Inapatikana Kimara Mwisho Kwa mawasiliano ni pm namba yangu imefungiwa na nida Gari Ni yangu hakuna udalali
3 Reactions
98 Replies
19K Views
Mashne ya juice ya miwa Ni used bei Lak8 Inatumia umeme Ipo Dodoma Tell no 0693 166802
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Post deleted by author!
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nyumbani Business Plan LTD Tunajivunia kukupatia huduma bora na zauhakika. Tunakushauri kitaalamu maana uzoefu wetu wa kazi unatosha kukupatia huduma chanya kwaajili ya kuhakikisha malengo yako...
0 Reactions
0 Replies
450 Views
Miche ya kisasa ya minazi inauzwa. Sh8,000 kwa mche. Niko Dar. Piga 0766940202
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wadau naomba kufahamishwa kampuni inayosafirisha mizigo kwa njia ya meli toka China hadi Zanzibar kuna mzigo wangu nataka niupitishie huko. Msaada wadau.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
vinauzwa vipo dar kitanda 6*6 100,000 godoro 80,000 kabat 180,000 sofa 65,000 piga/tuma sms 0625618177
2 Reactions
42 Replies
5K Views
Tunaiuza kwa bei ya shilingi 7,000,000 Gari ipo mkoa wa Tabora. Kwa mwenye uhitaji, tuwasiliane kwa namba 0758 383 624
2 Reactions
53 Replies
9K Views
Habari Karibuni wateja kwa huduma za Upambaji kwenye sherehe mbalimbali, pia tunatengeneza keki za sherehe mbalimbali kama ubarikio, harusi, sendoff, nk na vilevile tunatengeneza kadi za harusi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wadau wa jf Wapendwa wangu kwa huduma bora za Wedding, iwe kupangiwa kukarabatiwa, au kupangiwa Sherehe yako au shughuli zako unavyotaka iweje siku hiyo karibuni sana kwani nimebobea...
1 Reactions
2 Replies
765 Views
Msaada Jamvini natafuta frame ama eneo naloeza weka pub na restaurant...Dar es salaam Sinza mwenge Survey itapendeza....au hata mawasiliano 300k bajeti
0 Reactions
1 Replies
722 Views
Natafuta Gari aina ya run x rangi yoyote number ikiwa D itapendeza zaidi offer yangu million 6 Mpaka 6.5 nitafute hapa 0759117175
0 Reactions
0 Replies
539 Views
Back
Top Bottom