Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza xbox 360 Ina 61 games Hard disk 500gb Two controller Price 350k Whatsapp 0654179727 Location DSM
0 Reactions
1 Replies
663 Views
Kuna Xbox 360 zimechipiwa,zina games zaidi ya tano ndani,zina pad Moja moja,cables na adaptors, machine hazina tatizo lolote na naziuza kwa bei ya kutupa 260k kila moja,no 0658327429,nipo DSM...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Form four mwenye Pass mbili na kuendelea( D2) Unaweza kusoma kozi ya Business operation assistant (BOA) Ambayo ipo chini ya VETA na ukafika mpaka chuoo kikuu au Kupata ajira mara baada ya...
0 Reactions
3 Replies
550 Views
Karibuni wale wa Mwanza jumatatu kuanzia saa tano asubuhi nakata Belo la bwanga za design Kama hii kwa 6000 rejareja na 5000 ukichukua kuanzia 10. Tupo kiloleli Mwanza ulipokua mnada zamani...
2 Reactions
3 Replies
911 Views
Natafuta mtu anayeweza kuniuzia kioo cha Samsung S8+ nna 230k
1 Reactions
13 Replies
10K Views
Nauza lg tv inch 32 Ni full hd Imetumika miezi 4 tu Iko full na box lake Nipo nayo Ilala Bungoni Naiuza kwa laki 3 fixed 0623953036 whatsapp/calls
0 Reactions
60 Replies
4K Views
Unaweza jipatia kuku wa kienyeji na mayai toka Dodoma popote ulipo ndan ya Dar es Salaam, kwa Bei ya trei moja 15k, Ila jumla 13k na kuku wa kienyeji 20k jumla Ila 23k rejareja. NB: NAPOSEMA...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Kama wewe ni mfanyabiashara, na biashara yako imekua sana,unapata wateja wa kutosha online, unafahamu jinsi ya kufanya matangazo yanayorudisha faida , basi hii sio kwa ajili yako Lakini kama...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Wanandugu nauza godoro langu jipya nlinunua nipange rum tkifungua chuo lakini naona hesab Zimeenda ovyo. Ukubwa : 5 kwa 6 Upana : inch 8 Bei : 160 k Napatikana:mbagala kuu Mawsiliano 0628731833...
0 Reactions
0 Replies
891 Views
Naomba kuuliza kwa wanaosafirisha au Kutuma mizigo midogo midogo kwenda mikoani ni usafiri upi huwaga mnautumia kwa gharama nafuu, zaidi Sana kwa kampuni za Ma Bus. Kuna mzigo nataka niutume...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Kampuni ya simu za mkononi ya TECNO imetangaza kuanza rasmi promosheni ya Camon16 Billboard Star ambayo itawawezesha wafuasi wake wa kurasa za mtandani pamoja na wateja kwa ujumla kujinyakulia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Iphone X 64gb Battery health 100% Colors black/grey/white Price 950,000
0 Reactions
7 Replies
901 Views
Habari Karibuni mjipatie makapet mazuri kwaajili ya sebule yako au chumbani kwako Ukubwa wa kapets Ni Cm320*Cm 200 marefu kwa mapana ambapo Ni sawa na meta tatu na robo kwa meta mbili marefu kwa...
1 Reactions
43 Replies
9K Views
MASHUKE– (Agosti 23- September 23) Leo Jiepushe na maneno maana inaonekana utalaumiwa kwa mambo ambayo hukuyatarajia au hukuyafanya kuwa makini sana na mipangilio yako hasa masuala yanayohusiana...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Tunauza chupa za maji Brand ya Hellow Master zipo Rangi tofauti tofauti Ukubwa wa chupa Ni Mml 480 Material ya chupa Ni Glass Bei ni sh 5,000 tu kwa chupa moja Zipo Rangi Kama nne Kijani...
4 Reactions
41 Replies
7K Views
Gari ni mpya Plate no. imetoka jana. SPECIFICATIONS: Make: Toyota Model: RunX Body Style: Hatchback Color: Sky Blue Odometer: 58,000km Transmission: Auto Bei ni 12.5m subjected to Negotiations.
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu Tunatablets za watoto zenye sehemu ya kuweka Line Zinatumia WiFi Line ya kawaida so ni simu as well Ina application zote Kama smatphone ilivyo Waweza download games za watoto Study...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari wanaJF, Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya SUA mazimbu campus, chumba kiwe karibu na chuo, kwa yeyote anayeweza kunisaidia tafadhali naomba ani-PM. Natanguliza shukrani zangu za dhati!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habari wadau natafuta mtu anayeweza kukodisha laptop kwa mwezi, kuna kazi nataka kuifanya mara moja,tutaingia mkataba na nitamlipa pesa yake kama tutakavyo kubaliana ,ambaye yuko tayari...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom