chukua namba nimekutumia njoo tuonane nikuonyeshe vyumbaUmofya kwenu, nahitaji chumba cha kupanga Sinza Mori maana pana potential kubwa sana kwa Dar
bei 5000 mpaka120000
Asanteni
Bado zipo au zimepata wapangani zote?nenda KARIBU NA KWA MWAIBULA KUNA NYUMBA PALE UKIIPENDA NITAFUTE INA SELFU 5
Bado zipo au zimepata wapangani zote?