Gari aina ya IST namba D inauzwa

Gari aina ya IST namba D inauzwa

Ushimen

Platinum Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
44,179
Reaction score
111,108
Tunaiuza kwa bei ya shilingi 7,000,000

Gari ipo mkoa wa Tabora.

Kwa mwenye uhitaji, tuwasiliane kwa namba 0758 383 624

IMG_20191127_174838_212.jpeg
IMG_20191127_174740_856.jpeg
IMG-20191127-WA0002.jpeg
IMG-20191127-WA0004.jpeg
IMG-20191127-WA0008.jpeg
IMG-20191127-WA0005.jpeg
IMG-20191127-WA0006.jpeg
 
kwa mwonekano gari ni nzuri.. na bei ni nzuri
Ukweli gari upo vizuri chief, wife amekua akiiendesha kwa nidhamu na uoga.
Yaani ni gari ya home to job na kinyume chake.
Tumeamua tu kubalisha gari mkuu
 
Karibuni wateja, chuma bado ipo sokoni.
Kuiona ruksa, kuikaguwa ruksa, kuijaribu ruksa
 
Kwanza hongera kwa kuwa na mke mwenye gari..kama uwaambiavyo wenzako watajapo gari.
Pili ntakupigia Alhamisi tubonge kidogo
Ukweli gari upo vizuri chief, wife amekua akiiendesha kwa nidhamu na uoga.
Yaani ni gari ya home to job na kinyume chake.
Tumeamua tu kubalisha gari mkuu
 
Kwanza hongera kwa kuwa na mke mwenye gari..kama uwaambiavyo wenzako watajapo gari.
Pili ntakupigia Alhamisi tubonge kidogo
Asante sana mkuu, kweli kibongo land kuwa na gari sio kitu mbaya.
Karibu nikuuzie chuma mkuu
 
Karibuni wateja, mzigo bado upo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom