Moja ya majibu sahihi niliowahi kuona JF.Ulaji wake ni wakawaida tu japokua huwezi kulinganisha na ulaji wa ist sema mark 2 ni gari ngumu sana
Moja ya majibu sahihi niliowahi kuona JF.
Footbrake unakanyaga kuengage na kutoa unakanyaga zaidiHii ina footbrake kama Mercedes Benz. Iko chini kushoto pembeni ya brake pedal. Unaikanyaga to engage,kuitoa unavuta kuna button kwenye dashboard upande wa kushoto wa usukani.
Sio lazima. Ya Mark 2 series kuna button unavuta. Ya VW Touareg kuna button unavutaFootbrake unakanyaga kuengage na kutoa unakanyaga zaidi