Viwanja vinauzwa Moshi Kilimanjaro

Viwanja vinauzwa Moshi Kilimanjaro

Jenseny

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2011
Posts
1,743
Reaction score
1,743
Viwanja vyenye ukubwa kuanzia 17.5 kwa 35 hadi 70 kwa 70 vinauzwa bei ni kuanzia mill 2 hadi 30 viwanja vipo Kawawa Pumwani Sango barabara ya Kilema Uchira na Njia panda
tunauza pia maeneo unayoweza kujenga shule sheli na supermarkets
viwanja vyote havija pimwa ukishanunua kwa ushahidi wa serikali ya kijiji na kata tuna kufanyia mpango wa kukipima na unapewa hati yako mwenyewe!

mawasiliano

0621068486
0658825141
 
Huu ukubwa ni kwa metres
 
Viwanja vyenye ukubwa kuanzia metre 17.5 kwa 35 hadi metre 70 kwa 70 vinauzwa bei ni kuanzia mill 2 hadi 30 viwanja vipo Kawawa Pumwani Sango barabara ya Kilema Uchira na Njia panda
tunauza pia maeneo unayoweza kujenga shule sheli na supermarkets
viwanja vyote havija pimwa ukishanunua kwa ushahidi wa serikali ya kijiji na kata tuna kufanyia mpango wa kukipima na unapewa hati yako mwenyewe!

mawasiliano

0621068486
0658825141
 
Maeneo uliyotaja sio moshi mkuu, kule ni ama moshi vijijini au vunjo.
 
Viwanja vinauzwa Moshi maeneo ya Pasua mwisho wa haice ukubwa kuanzia mita za eneo 18/24-16.5/20 kwa bei nafuu ya milion 14 mpaka milion 20 mawasiliano 0628295807 /0692938115
 

Attachments

  • 20201115_123156.jpg
    20201115_123156.jpg
    147.1 KB · Views: 9
  • 20201115_123203.jpg
    20201115_123203.jpg
    136.1 KB · Views: 9

Similar Discussions

Back
Top Bottom