Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Banda la vyumba vitatu linauzwa.Bei 8.5 million. Banda hili lipo Tabata Kinyerezi.Ina bati la Msauzi. Kwa maelezo zaidi njoo inbox.
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Naomba kuuliza Kwa wenyeji wa Dodoma Kama Kuna kampuni ya kusafirisha mizigo (pikipiki) kutoka dodoma hadi Mbeya. Au kwa wazoefu wa dodoma huwa mnasafirishaje mzigo toka Dodoma hadi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
UNGA MPYA MJINI ARUSHA Tunawakaribisha wauzaji , wasambazaji na wadau wote. Wasiliana na sisi ile kupata fursha hii. Unga wetu ni mzuri, tamu sana na yenye viwango vya TBS. Bei za Jumla: 25kg ...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za mchana, Samahani kwa usumbufu. Nilikuwa naomba kama mtu yeyote anayejua kama kuna nyumba ya kupanga ipo naomba anijulishe Location: Buza Bei: 150k Nyumba iwe na vyumba viwili, sebule...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa mtu yoyote anaehitaji kununua vitu 1. Kitanda 5/6 2.godoro 5/6 3.vyombo vya ndani 4.gesi 5.shelf ya kuwekea nguo Nipo iringa semtema. Bei ni 300,000 vyote
3 Reactions
27 Replies
3K Views
..
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini wadau, Ninahitaji kununua kontena la futi 20 hivi karibuni.ila sijui namna bora ya manunuzi ili niwe salama.maana nasikia kontena huwa linakuwa na Document na sijawahi kuiona hiyo...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Ukubwa mita 20 kwa 20 (400sqm). Umeme Upo na barabara nzuri ipo. Eneo limepimwa, hakuna mgogoro. Bei Tsh 4Milioni. Karibu 0742141467
0 Reactions
4 Replies
828 Views
TUNASAFIRISHA MIZIGO KWENDA NJE NA NDANI YA NCHI Karibu Kwa Huduma ya Kusafirisha Cargo Kwenda Nchi za Nje na Ndani ya Nchi Tunasafirisha Kwenda Mikoa Yote ya Tz Bara na Nchi za Nje Kama -Kenya...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Kuelekea Pasaka na Eid wakazi wa Dar free delivery- Tupo Temeke kwa Azizi Ally au Ilala bungoni au Temeke hospitali Super Tsh 2,000 Mzuri Tsh 1,800 ila harufu ni ile ile ya mbeya Wastani Tshs...
3 Reactions
89 Replies
7K Views
Hi I am looking for a swahili tutor to teach my kids swahili. The person must be educated with good english and have use of a laptop for zoom lessons. They must be able to plan each lesson in...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Land For Sale Location: Goba Direction: 3km from Salasala Mwisho wa lami Plot size:400 Sqm- Price: Tsh, 10,000,000 Plot Size: 800 Sqm- Price: Tshs 20,000,000 Plot Size: 1200 Sqm- Price: Tshs...
0 Reactions
0 Replies
760 Views
kama we ni fundi wa kutengeneza viatu vya kimasai nicheck kwa number hii +258866131115
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Chumba masta, sebule na jiko. Bei Tshs 180,0000 Kwa Mwezi, Kodi ya miezi 6 inatakiwa. Maji ya dawasa, luku yake, ndani ya fensi. Karibu 0742141467
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za leo wakuu! Nijikite moja kwa moja kwenye Mada. Natarajia kuozesha binti yangu katikati ya mwezi wa Sita mwaka huu, nategemea kumfanyia Sherehe ya kumuaga-SendOff. Nahitaji Ukumbi wa...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Tuwasiliane nahitaji tani 500 Mazaobiashara@gmail.com 0766186785
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau Nina soko la nyama ya mbuzi nchi za nje kiasi cha tani 2 - 5 kwa wiki .Nina hitaji mtu anayejua juu ya upatikanaji wake ,gharama,kama kuna kiwanda cha uchakataji nk ......kama kuna mjuzi...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Zoezi la kufunga Submita hizi za PREPAY Hizi ni Mita Binafsi Ambazo ni maalumu kabisa kwa wale Watu wanaotumia mita moja ya LUKU zaidi ya mtuu mmoja limekamilika Faida za hii Mita nikwamba owapo...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa mita 20 kwa 40 kilichopo Mabwe Pande DSM kinauzwa bei TZS 7M na umeme upo karibu na kiwanja. Napatikana kwa 0736770052.
0 Reactions
2 Replies
830 Views
Back
Top Bottom