Habari Wadau,
Sisi tunajihusisha na ushonaji wa nguo za aina zote kwanza,
Nguo za Harusi ( Suti na Magauni)
Uniform za Maoffisi na Mashuleni
Mishono ya Vitenge
Casual Wear etc
Karibuni Ofisi...
Habarini,
Nilikuwa nahitaji kufahamishwa wanapouza mashine ya kutengeneza soseji au kama kuna mtu anaweza kutengeneza mashine ya soseji zile kama za kichina.
Nimeambatanisha na picha hapo chini
(1) Deep fryer inayotumia gesi yenye container mbili zenye ujazo wa Lita 6 kila mmoja bei tsh 150,000/=(fixed)
(2) Oxygen cylinder tsh 160,000/=
Simu: 0735327523 DSM
kiwanja kipo kimara suka/njia ya kuelekea Golan kina nyumba ndani yake ya vyumba 3 na jiko haijaisha ipo kwenye linta na foundition ya kujenga nyumba ya vyumba 6 na frem 2 tayar zimejengwa zipo...
Habari nauza pikipiki aina ya tvs 125 used ,iko dar es salaam kijichi, bado ina hali nzuri sanaa , injini haimjui fundi, documents zote zipo na bima bado ipo . Bei 1,450,000 (mazungumzo...
Unahitaji mashine sasa Najidakia store & General supply tupo Kwa ajili yako
mashine ya juice ya miwa utaipata Kwa million moja na Laki mbili tu inachuja na kuacha juisi yako ikiwa safi kabisa mtu...
Habari JF,Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nauzwa kiwanjaa kikubwa ambacho tayari kimepimwa na kuwekewa mawe
Sifa za kiwanja:
Ukubwa ni 900M² (square meter 900)
Ardhi tambalale yenye...
Nyumba inauzwa (Pagale) ipo Kigamboni DSM.
Ukubwa wa eneo: SQM 500
Document: Hati safi kabisa ya s/mtaa.
Location: Kigamboni Mjimwema. KM 4 kutoka ferry, nyumba ipo karibu kabisa na barabara ya...
1. Chumba Sebule Choo ndani bila jiko.
--Maji dawasco, fensi & Umeme Luku.
--Bei Tshs 200,000/Mwezi
-- Piga 0675107182
Sent using Jamii Forums mobile app
wachimbaji visima virefu vya maji safi na salama kwa matumizi ya nyumbani au shambani pia tunafanya surveying (tafiti kubaini uwepo wa maji ) kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kupitia namba...
Asalaam alaikum wanajamii forum
Nauza nyumba ambayo namiliki mwenyewe sio dalali 0762987034
Ina vyumba vitatu viwili masters
Ina sebule, dinning, jiko , fensi
Ni nyumba ya pili toka barabara kuu...
Ukubwa wa Kiwanja: 1200 Mita za Mraba.
Kimepimwa: Ndiyo.
Kina Hati: Ndiyo.
Bei: Tshs Milioni 100 ( Maelewano yapo )
Eneo kilipo kiwanja: Salasala Karibu na kwa aliyekuwa Mkuu wa Majeshi Waitara...
Habari,
Mimi ni mdada nipo maeneo ya Tegeta natoa huduma ya kufanya usafi majumbani, kama unahitaji kufua, kuosha vyombo, kudeki n.k.
Nafanya usafi na kuondoka.
Malipo sio chini ya 10,000.
PM...
Chumba na choo chake, Sebule na jiko.
Ina tiles, gypsum, maji ndani na fensi ipo.
Kodi laki 2 kwa Mwezi, malipo ya miezi 6 yanatakiwa.
Karibu 0742141467
Kuna jamaa (nimsahau) alisema ametengeneza software inayoweza kutumika na kanisa Katoliki kwenye taarifa za waumini kuhusu
1. Jina
2. Jumuiya
3. kanda
4 ULIPAJI zaka na michango mbalimbali
4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.