Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Plot size: 1300 Square Meters Plot Status: Surveyed/Title deed Location: Mbezibeach, Goigi behind Crdb bank Price: Tshs 250 Million [ Negotiable ] For enquiry contact: 0716442950 or 0742141467...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari Wadau, Sisi tunajihusisha na ushonaji wa nguo za aina zote kwanza, Nguo za Harusi ( Suti na Magauni) Uniform za Maoffisi na Mashuleni Mishono ya Vitenge Casual Wear etc Karibuni Ofisi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini, Nilikuwa nahitaji kufahamishwa wanapouza mashine ya kutengeneza soseji au kama kuna mtu anaweza kutengeneza mashine ya soseji zile kama za kichina. Nimeambatanisha na picha hapo chini
0 Reactions
4 Replies
3K Views
(1) Deep fryer inayotumia gesi yenye container mbili zenye ujazo wa Lita 6 kila mmoja bei tsh 150,000/=(fixed) (2) Oxygen cylinder tsh 160,000/= Simu: 0735327523 DSM
0 Reactions
8 Replies
1K Views
kiwanja kipo kimara suka/njia ya kuelekea Golan kina nyumba ndani yake ya vyumba 3 na jiko haijaisha ipo kwenye linta na foundition ya kujenga nyumba ya vyumba 6 na frem 2 tayar zimejengwa zipo...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Habari nauza pikipiki aina ya tvs 125 used ,iko dar es salaam kijichi, bado ina hali nzuri sanaa , injini haimjui fundi, documents zote zipo na bima bado ipo . Bei 1,450,000 (mazungumzo...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Unahitaji mashine sasa Najidakia store & General supply tupo Kwa ajili yako mashine ya juice ya miwa utaipata Kwa million moja na Laki mbili tu inachuja na kuacha juisi yako ikiwa safi kabisa mtu...
4 Reactions
92 Replies
13K Views
Habari JF,Husika na kichwa cha habari hapo juu. Nauzwa kiwanjaa kikubwa ambacho tayari kimepimwa na kuwekewa mawe Sifa za kiwanja: Ukubwa ni 900M² (square meter 900) Ardhi tambalale yenye...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Iwe nzima,dalali kaa pembeni
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa (Pagale) ipo Kigamboni DSM. Ukubwa wa eneo: SQM 500 Document: Hati safi kabisa ya s/mtaa. Location: Kigamboni Mjimwema. KM 4 kutoka ferry, nyumba ipo karibu kabisa na barabara ya...
0 Reactions
1 Replies
778 Views
1. Chumba Sebule Choo ndani bila jiko. --Maji dawasco, fensi & Umeme Luku. --Bei Tshs 200,000/Mwezi -- Piga 0675107182 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
32 Replies
3K Views
wachimbaji visima virefu vya maji safi na salama kwa matumizi ya nyumbani au shambani pia tunafanya surveying (tafiti kubaini uwepo wa maji ) kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kupitia namba...
1 Reactions
75 Replies
18K Views
Printer ni mpya kabisa haijatumika. Bei 450000. print scan copy inatumia cartridge mbili Njoo na maongezi Mawasiliano
0 Reactions
0 Replies
864 Views
Asalaam alaikum wanajamii forum Nauza nyumba ambayo namiliki mwenyewe sio dalali 0762987034 Ina vyumba vitatu viwili masters Ina sebule, dinning, jiko , fensi Ni nyumba ya pili toka barabara kuu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ukubwa wa Kiwanja: 1200 Mita za Mraba. Kimepimwa: Ndiyo. Kina Hati: Ndiyo. Bei: Tshs Milioni 100 ( Maelewano yapo ) Eneo kilipo kiwanja: Salasala Karibu na kwa aliyekuwa Mkuu wa Majeshi Waitara...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari, Mimi ni mdada nipo maeneo ya Tegeta natoa huduma ya kufanya usafi majumbani, kama unahitaji kufua, kuosha vyombo, kudeki n.k. Nafanya usafi na kuondoka. Malipo sio chini ya 10,000. PM...
1 Reactions
36 Replies
2K Views
Chumba na choo chake, Sebule na jiko. Ina tiles, gypsum, maji ndani na fensi ipo. Kodi laki 2 kwa Mwezi, malipo ya miezi 6 yanatakiwa. Karibu 0742141467
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Imetumika kidogo Ipo katika hali nzuri Location: Kunduchi, Dar es Salaam Bei : 220,000/= only
0 Reactions
0 Replies
573 Views
Kuna jamaa (nimsahau) alisema ametengeneza software inayoweza kutumika na kanisa Katoliki kwenye taarifa za waumini kuhusu 1. Jina 2. Jumuiya 3. kanda 4 ULIPAJI zaka na michango mbalimbali 4...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom