Hello, kama unahitaji huduma tajwa hapo juu..
kununua kiwanja/viwanja
kununua nyumba
karibu tukuhudumie ndani ya jiji la Mwanza (igoma, kisesa, nyegezi, n.k)
Mawasiliano; 0744033555
Falsafa yangu ni kutafuta kusudi, kuifuata kupitia ujifunzaji na kusambaza maarifa kwako.
Falsafa ni mtazamo au nadharia inayoongoza tabia yako kwako mwenyewe, mazingira yako na uhusiano kati...
Nyumba nzuri ipo kwenye mazingira mazuri yenye maji ya dawasa Massa 24, Umeme Luku yake, pia ina uzio na geti.
Nyumba ina sifa zifuatazo:- Vyumba 2 ( Masta 1), Sebule, Jiko na Choo cha Wageni...
Vifaa tajwa hapo juu vinauzwa.
Keyboard na Battery za Hp na Hp Compaq Laptop series.
-Used
-Keyboard haina michubuko wala tatizo lolote.
-Battery zinakaa na charge 2hrs na zaidi
Keyboard spare #...
UPDATE:
Viwanja kwa bei ya M1.8 kimebaki kimoja. eneo jingine bei ni juu kidogo.
LOCATION:
Mabwepande, Dar es salaam
Zinapogeuzia daladala za kutoka Makumbusho hadi kwenye viwanja ni kama umbali...
Mambo vipi wakuu.
Naomba kujua bei ya ufuta kutoka shamba inanunuliwa kwa shilingi ngapi kwa kilo nina kama gunia tano 5
Nipo Moshi Kilimanjaro, mawasiliano 0657291795
wachimbaji visima virefu Tanzania pia tunafanya tafiti za maji ardhini (surveying)
mikoa yote tupo kwa maelezo sahihi ya mteja wapi upo mkoa gani na sehemu gani basi wasiliana nasi kwa namba...
Ndg, mdau hivi karibuni nimeitambulisha kampuni ya KDS hapa Jf ambayo imejumuisha wataalam kwenye masuala ya ujenzi, moja ya vitu ambavyo havijulikani garama halisi ni pamoja na ujenzi wa Swimming...
Habari!
Natafuta hilo jiko ambaye anauza tunaweza fanya biashara.
Pia kama kuna mtungi wa gesi hii mikubwa nao nahitaji.
Mawasiliano 0743451357.
Hata ukinisaidia connection jinsi ya kuyapata...
Nauza IST mpya kabisa haijasajiliwa na ina cc 1490 ya mwaka 2004 kwa bei ya TZS 12,000,000 ikiwa imejumuisha kodi na gharama za kutolea bandarini. Tuwasiliane kwa namba 0736770052.
Habari wadau, tunawapenda kuwaalika watu wote wanaohitaji huduma ya usafi majumbani, maofisini pamoja na kunyunyizia dawa wadudu wasumbufu kama vile mende, mchwa, kunguni, mbu, nyoka nk...
Hello JF.
Karibu tukuhudumie katika
Mahitaji ya kununua Nyumba katika maeneo mbalimbali ya jiji kama igoma nyegezi kisesa n.k
Kununua viwanja na mashamba ndani ya jiji la mwanza sehemu kama...
Nauza IST mpya kabisa haijasajiliwa na ina cc 1490 ya mwaka 2004 kwa bei ya TZS 12,000,000 ikiwa imejumuisha kodi na gharama za kutolea bandarini. Tuwasiliane kwa namba 0736770052.
Kiwanja kizuri sana, Kipo Goba inayopakana na Madale/Mivumoni
Ukubwa wa Kiwanja - Mita za Mraba 400 (Unajenga na Nyumba ya Vyumba 3 na eneo linabaki kwa matumizi mengine i.e parking)
Bei - Tshs...
Helow friends,
Poleni kwa uchovu na hongereni kwa kuianza weekend.
Kwa wale wanaoanza maisha leo nataka kukueleza vitu vichache tu; najua huwezi kuanza maisha bila vyombo kuna rangi chache ni...