Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu, Tumeleta mzigo wa pochi za kina dada nzuri. Tunauza kwa bei ya jumla na reja reja Bei yetu ya jumla ni sh. 13,000/=✓ kuanzia PC tano tu na rejareja sh. 15,000/= Tunapatikana...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu mawasiliano yangu ni 0718151415. Bei milioni moja na laki mbili maongezi yapo. Karibuni sana
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Contempo.(hiden roof) ni mtindo mpya wa ujenzi wa nyumba Tanzania lakini wengi wanaishia kupata hasara kwasababu wanajenga bila kua na michoro ya kitaalamu hivyo zinaishia kuvuja. Ili ujenge...
2 Reactions
20 Replies
6K Views
Kazi; kutafuta wateja na kutangaza tiba ya meno , haswa mtandaoni. Sehemu ya kazi: Korogwe Tanga Mshahara: 200000/= , na commission za mauzo ya kila siku Elimu: awe na elimu ya chuo kikuu ...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jipatie Time attendance device kama kihakiki cha mahudhurio ya wafanyakazi kiwandani, ofisini mahotelini nk, na hata mashileni. Rahisi kutumia. Ina back up Battery kama umeme umekatika, unaweza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
fuata link hapachini,ili upate maelekezo bettingsystem.skynova.io
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Hahahah, kama kawaida ya binadamu kila anapopatwa na janga huwa anawaza namna ya kupata unafuu. Katika harakati zangu za kusaka unafuu nikakutana na chimbo la bando za Aitel za chuo zenye gharama...
14 Reactions
38 Replies
10K Views
Toyota HARRIER [D.J.M] Year : 2006 Capacity : 2360cc Mileage : 89,000kms Price : 17.5M Location: Mbezi Beach Call : 0717436363 Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
1 Reactions
54 Replies
8K Views
Kiwanja kinahitajika maeneo ya kigamboni kibada. Bajeti 4M Kiwe maeneo hayo ya kibada Simu 0716411720
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mixer zinauzwa Used Kutoka Ufaransa Hazijatumika Tanzania. Bei Milioni Tatu Na Laki Sits (3,600,000) moja Zipo Mbili kwa Sasa.
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Nauza mahindi KWA sh 55,000 (gunia) Debe la mahindi utapata KWA 8500 Kila jumamosi mzigo unaingia wote mnakaribishwa. Bei ya debe la mahindi KWA Dsm ni kuanzia 10k. Ila ofa hii ipo KWA kipindi...
1 Reactions
0 Replies
853 Views
Naomba kuuliza zile conduit pipe rangi nyeupe, bei yake ikoje kwa Moshi?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Hello jf Kwakuwa tunapaswa kuishi kwa kuendana na alama za nyakati basi kama wewe ni mmliki au mbeba maono ya taasisi fulani ( kanisa, msikiti, chama,kikundi, jumuiya) Ni wakati sasa uweke...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa yeyote aliye interested nauza infinix hot 9 haina shida yoyote ni used ikifika tarehe 16/04/2021 inafikisha mwezi nina uhitaji wa hela. Ram 4gb na internal memory ni 64gb. Napatikana Singida...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Haina tatizo Piga 0748001009 Ununio Dar Ndani Ina good CONDITION Cc 1490 Bei 6.5milion 6.5mil
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Inaitajika gari ndogo ya kukodisha IST, Noah, Runx, Spacio n.k Shughuli za kiofisi. Ofisi ipo magomeni. Malipo kwa kila week. Mkataba wa mienzi mitatu hadi sita. Mafuta na service za gari ni...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Chumba kimoja, Choo cha nje. ------------------------ Maji ya dawasa, Umeme Luku yakuchangia, Uzio na usalama Upo. ------------------------ Bei Tshs 50,000 Kwa Mwezi Kodi ya Miezi 6...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Husika na kichwa hapo juu Mimi mdau wa zana za kilimo ninauza tractor aina new Holland HP 95 IPO vizur kabisa ( mpya) ninapatikana mbeya Bei ml 35 pamoja na jembe lake disc 4 Sent using Jamii...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Chumba na sebule, Choo cha nje. Maji ya dawasa, Umeme Luku wawili, Maegesho ya gari ipo, Uzio na usalama Upo. Bei Tshs 100,000 Kwa Mwezi Kodi ya Miezi 6 Wasiliana nasi: 0686648630 | 0716442950
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza kitanda. Bei laki na 20 (120,000/=). Nipo Banana Ukonga. Namba yangu ni 0712505049.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom