Natafuta kiwanja budget 3M kiwe na Hati

TBOSS

JF-Expert Member
Feb 13, 2017
253
378
Kiwanja kiwe Salasala, mabwepande, Tabata, uwanja wa ndege, Bagamoyo Road etc

Eneo liwe ni salama kwa kuishi hasa ulinzi. Eneo liwe na maji na umeme na karibu na Barabara.

Zingatia isiwe kigamboni wala pwani kama mkuranga au kisarawe etc.
 
Duh!! 3 milion na kiwe na hati!! Tittle deed au serikali ya mtaa?
 
3mln nyingi usawa huu lkn syo kwa kiwanja chenye hati,ukipata tupé marejesho mkuu
Kila la heri...

Ova
 
Kiwanja kiwe Salasala, mabwepande, Tabata, uwanja wa ndege, Bagamoyo Road etc

Eneo liwe ni salama kwa kuishi hasa ulinzi. Eneo liwe na maji na umeme na karibu na Barabara.

Zingatia isiwe kigamboni wala pwani kama mkuranga au kisarawe etc.
Ukipata nami nahitaji
 
Tatizo kubwa ninaloliona hapa ni kwamba wanaokataa kuwa hiyo pesa ni ndogo hawako tu makini. Huyu jamaa anataka kiwanja kwa 3M maeneo hayo. Hajasema ukubwa wa kiwanja na kazi anayotaka kufanyia hicho kiwanja.
 
anaetaka KIWANJA GONGO LA MBOTO MAJOHE VIWEGE KWA MPEMBA aje PM tuyajenge nauza BEI poa(njoo pm tutapatana) upana mita 23 urefu mita 20 kipo barabarani gari hadi uwanjani na kina msingi tayari wa nyumba ya kisasa ya vyumba vitano viwiri master kimoja cha mazoezi viwiri vya kawaida sebure jiko na stoo na public choo na nafasi inabaki ya kuingiza gari ndogo tatu pia ukitaka waweza jenga fremu mbele 7bu kipo barabarani mtaani nakupa na ramani kabisa ni mita 300 kutoka stand kwa mpemba ni changu ni mambo yameshakuwa taiti na kimfaacho mtu chake
more info njoo PM kwa pic na bei


NB:- kiwanja ni changu hakuna dalali wala takataka yoyote
 
Kiwanja kiwe Salasala, mabwepande, Tabata, uwanja wa ndege, Bagamoyo Road etc

Eneo liwe ni salama kwa kuishi hasa ulinzi. Eneo liwe na maji na umeme na karibu na Barabara.

Zingatia isiwe kigamboni wala pwani kama mkuranga au kisarawe etc.
Ml 3 kiwanja kiwe nahati. Unamaanisha eneo limepimwa. Acha utani bwana...
 
Tatizo kubwa ninaloliona hapa ni kwamba wanaokataa kuwa hiyo pesa ni ndogo hawako tu makini. Huyu jamaa anataka kiwanja kwa 3M maeneo hayo. Hajasema ukubwa wa kiwanja na kazi anayotaka kufanyia hicho kiwanja.
Sasa kuna kiwanja kinapimwa kunatolewa hati kiwe na sqmt 50?????
 
Hahaha,hizo 30m chenye Tittle dead kwa maeneo hayo ni issue kupata
Ukipata pesa fikiria mara mbilimbili
Na ndio maana tunaambiwa iwe na ndoto zinazoendana na research,sio kuwa na ndoto hewa.
Ndio maana nikamuuliza.....ninajuwa saana bei ya viwanja maeneo hayo.
 
Kiwanja kiwe Salasala, mabwepande, Tabata, uwanja wa ndege, Bagamoyo Road etc

Eneo liwe ni salama kwa kuishi hasa ulinzi. Eneo liwe na maji na umeme na karibu na Barabara.

Zingatia isiwe kigamboni wala pwani kama mkuranga au kisarawe etc.

Njoo Chanika kwa bei iyo kipo
 
Back
Top Bottom