Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Viwanja Vipya NHC Kigamboni Mwongozo Dongwe palm. square meter 750 adi 1600. Kilometer 17 toka ferry, nani mita 100 toka NHC housing pia ni mita 200 toka baharini. Bei ni 22,000 kwa sqm...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Kiwanja (Urefu 40m*25m)kipo sehemu ya makazi yaliyojengwa kisasa.Umeme na maji vipo.Umbali wa Km 1 kutoka Bagamoyo Road.Nyaraka zote za umiliki kutoka serikali ya mtaa zipo.Mimi si dalali ni...
0 Reactions
1 Replies
770 Views
Nyumba/kiwanja ukubwa ni sqm 750, eneo ni tanki bovu mita mia hamsini kutoka barabara ya bagamoyo opposite na Massana hospital, documents zote muhimu zinapatikana na eneo linafaa kwa matumizi...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Viwanja Kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngne za kimaendeleo vinapatkana Kwa ukubwa wa 20/20 Huduma muhimu zinapatkana kwa ukaribu 0656 698232
0 Reactions
0 Replies
621 Views
Viwanja Kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngne za kimaendeleo vinapatkana Kwa ukubwa wa 20/20 huduma muhim zinapatkana kwa ukaribu 0656 698232
0 Reactions
1 Replies
627 Views
Ni shamba lililoko kwenye eneo linalokuwa kwa kasi kiuchumi linafaa kwa kilimo cha miti, matunda,ufugaji n.k, Liko jirani na Wakulima na wafugaji wakubwa wa Ihemi na ni jirani na barabara kubwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Viwanja kwa ajili ya ujenzi wa makazi na shughuli nyingine vinapatkana kwa ukubwa 20×2. Bei: 2,300,000/= nafasi ya mazungumzo ipo kwa muhitaji wa kweli. Contact: 0656 698232 Call or SMS..
0 Reactions
102 Replies
14K Views
Wakuu, Nauza kiwanja chenye maelezo yafuatayo: Mahali: Mbutu, Kigamboni. Kilomita 24.5 toka feri. Ukubwa wa kiwanja: 700 SqM (Mita za eneo). Upana mita 20 na urefu mita 35. Bei: 10.5m...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Lipo Makongo nyuma ya chuo kikuu cha Dar es salama.panafaa kujenga shule, Apartment, hostel, Na pia kuna Nyumba ya vyumba 3 self nk bei 350ml maongezi yapo.mawasiliano 0715060183/0756060183
0 Reactions
0 Replies
868 Views
Kiwanja kipo jirani na Goba mjini ukubwa 40 kwa 50 Bei 35ml Pako vizr pamejengwa kwa mpangilio mzuri mitaa ya kueleweka na njia nzr hadi kwenye plot. Mawasiliano 0756060183/0715060183
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wanajamvi, Kwa wale wanahitaji kiwanja Arusha ukubwa wake ni 26 kwa 22 hakina mgogoro wowote nahitaji pesa tu. Huduma kama maji, umeme na barabara vyote zinapatikana, Mandhari murua unapata...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
TANGAZO. GEO PLAN DESIGN and LAND CONSULTANCY Kampuni ya mipango miji inakutangazia viwanja vilivyopimwa kwa mujibu wa sheria za mipango miji wizara ya ardhi. Viwanja viko kigamboni mbele ya...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Jamani Kiwanja chenye ukubwa wa Square meters 1000 na hati kinauzwa Gongo la mboto karibu na msikiti wa Markaz. Bei yake ni Sh. Milioni 30 na mazungumzo yapo. Eneo linafaa kwa makazi au Biashara...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiwanja cha ukubwa wa 30/25 kipo maeneo ya goba karibu na shule ya precious,kimezungushiwa ukuta tayari,umeme upo,mashimo ya choo tayari na yameishajengewa. Price milioni 22 ila maongezi yapo. Ofa...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
TANGAZO LA KUUZWA KWA VIWANJA! MANISPAA YA MOROGORO IMETOA KIBALI KWA KAMPUNI YA BAYPORT KUUZA VIWANJA VYAKE VILIVYOPO NJE KIDOGO YA MANISPAA YA MOROGORO KM 4 TOKA ILIPO MIZANI YA MAGARI,VIWANJA...
1 Reactions
24 Replies
15K Views
Chanika majumba sita bei maelewano na unapimiwa kulingana na uhitaji wako...plz piga hapa 0714045080
0 Reactions
10 Replies
3K Views
I have a plot of land for sale at uporoto Street.. Along Bagamoyo road near anghiti hotel. Map coordinates The plot is suitable for for any business need.. Currently it has a house built in it...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Viwanja Viko Mbezi Mpiji Magoe, ukubwa kuanzia mita 22*20 Bei million 4.5, bei inaongezeka kulingana na ukubwa. Umeme, maji na barabara nzuri vyote vipo. Wahi kabla Bei haijapanda. Kwa taarifa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna kiwanja cha ukubwa wa mita za mraba 1500.. Kipo mtaa wa uporoto ni mita 15 katoka Barabara ya bagamoyo.. Kipo karibu katikati ya kituo cha Victoria na Morocco.. Piga namba 0769338868...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Karibu Mkuranga kwa mahitaji ya kiwanja mashamba tena kwa bei nafuu sana,kwa mahitaji ya kujenga sheli za mafuta (petrol station), shule, nyumba za wageni na hotel, wasiliana nami kwa simu no...
1 Reactions
30 Replies
7K Views
Back
Top Bottom