BEACON NI NINI?
Haya ni mawe yanayopandwa ardhini kwa lengo la kuonyesha mipaka ya eneo ambalo tayari limeshapimwa.
Kikawaida uwa yanapewa herufi na namba kwa mfano ZEY 215.
NINI INAPASWA UJUE...
Ujenzi wa ghorofa ni nafuu, kama tu utafuata taratibu.
1: Kwanza hakikisha unatafuta mtaalamu ambae atakuandalia ramani (architectural drawings) ambae kupitia mtaalam huyo hata hakikisha unapata...
Topcon ipo na vifaa vyake vyote tayari kwa kutumika, ni used japo haijatumika sana kama inavyoonekana kwenye picha
Specifications; overall length 192mm, effective diameter 30mm, magnification...
Habari Wana JF, nimepata usumbufu sana kwa wakati nafungua kampuni brela, haswa kwenye mambo ya kuanda MEMARTS. MEMARTS yangu ilikataliwa Zaid ya mara tano kwa makosa mbalimbali lkn hatimaye...
Samsung Washing Machine inauzwa ikiwa kwenye excellent condition kabisa.
Ilinunuliwa mwaka jana mwanzoni na haina tatizo lolote.
Bei ni 700k ila mazungumzo kidogo yanawezekana.
Kama uko...
_KINAHITAJIKA CHUMBA CHA 50,000/= MAENEO YA TABATA.!!
*Hello Madalali na Members wa Group hili.
Kinahitajika Chumba Cha Tsh 50,000/=
Maeneo ya Tabata , Usafiri uwe Gari moja kuelekea Airport...
AFRICAN BIRD EYES CHILLI (ABE CHILLI) ni zao linalolimwa hapa nchini Tanzania kupitia kampuni ya VEGRAB ORGANIC FARMING LTD, na kampuni zingine.
VEGRAB ORGANIC FARMING LTD, reg.132632...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.