Je wajua kuogelea kunaboresha afya na ni ujuzi mzuri maishani pia ni burudani.
Karibu umwandikishe mwanao kwenye darasa la kuogelea likizo fupi ya pasaka darasa la siku 8
Certificates zitatolewa...
Make: Mazda
Model: Verisa
Model number :DBA-DC5W
Body type:station wagon
Colour:Grey
Year:2004
engine capacity:1490
Fuel used:petrol
Seating capacity:5
Km:49000
Bei m 90000000
Milioni Tisa tu
Nahitaji kununua kiwanja Dom.
Kisizidi 400 sqm
Umbali sio zaidi ya km 3.5 toka mjini
Kiwe na Hati na kimepimwa
Kiwe pembezoni mwa bara bara kuu ya lami yenye movement ya watu na magari.
Hello Jf
Hili ni eneo lenye mita za mraba 4,248
limepimwa tayari beacon zipo
Hati ipo, inasoma Biashara na Makazi
Halina tatizo lolote.
Unaweza Weka Biashara yoyote unayoona inafaa (KAMA...
Kiwanja Kipo Oysterbay mita 50 kutoka Oysterbay Lodge, kipo jirani na kituo cha mabasi Oysterbay uelekeo wa UDOM upande wa kushoto kuna barabara ijulikanayo kama Oysterbay road. Kiwanja ni kizuri...
Kama una radio au subwoofer ya zamani,usiichukie radio yako bali weka hiki kifaa ili uweze kutumia Bluetooth, flash na memory card kama radio za kisasa.
Sony, Aiwa, Panasonic n.k hizi radio...
Natafuta Nyumba Ya Kupanga Dar Es salaam.
VIGEZO:
1.Iwe Maeneo ya Magomeni Mapipa,Mikumi,Kanisani au Usalama
2.Nyumba Yenye Ngome(Iliyondani Ya Geti)
3.Chumba...
Habari Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ ,Ninahitaji Msaada wa kupata uzoefu katika kuendesha gari za Manual , nilienda VETA lakn bado sina uzoefu nahitaji kupata uzoefu ili niombe kazi...
Habari zenu ndugu zangu wa jf poleni na majukumu ya hapa na pale.. Huu uzi ni kwa ajili ya kutoa elimu kuhusu mifumo yote ya bomba katika nyumba ikiwemo mifumo ya maji safi na maji taka drainage...
Poverty in my opinion is lack of the ability to obtain the basic needs of life when we need them.It also lack of assurance or confidence of acquiring the basic needs of life in the near future...
Mm ni Mjasiriamali wa kuonyesha mpira ila biashara imekua ngumu baada ya waonyeshaji kuwa wengi. Sasa naomba anayehitaji Dishi DSTV anipe dishi la Azam anichek 0788222700.
Wanabodi kama kuna mtu anauza king'amuzi Cha Azam anitafute nahitaji ving'amuzi sita na Azamu wenyewe wanataka ninunue na dish wakati shida yangu sio dish. 0715200767
Kama una benchi zuri la mbao (lisiwe la chuma na lisiwe na sehemu ya kuegemea) linalotosha kukaa mpaka watu wanne njoo PM tufanye biashara.
Kama wewe ni fundi seremala na unaweza kuniahidi...
NEW UPDATES:
TAWA WATER PROFFESIONAL
Ghalama za kuchimba kisima na Underground Water Survey.
Dar Es salaam: kuchimba ni Tshs 80000 kwa mita moja unawekewa bomba na pampu
Dar Es salaam Survey...
Habari zenu
Nauza friji hii iliyotumika almost miaka 9 hv
Sifa zake:
1. Rangi nyeupe, ila vema ukiirudidhia rangi
2. Ni kubwa
3. Aina ya Bosch
4. Inafanyakazi japo ufanisi umepungua kiutendaji
5...
Kwa ambaye atahitaji huduma yoyote hapo basi Usisite kunipigia , Huduma zoote hapo zinapatikana hivyo kwa atakae kua Tayari napatikana Masaa yote yale kikubwa ni kua Sereous , WELCOME CUSTOMER...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.