Habari wana JF
Nauza nyumba yangu kwa 22mil kwenye eneo lenye ukubwa wa sq 500 imepauliwa na bati la msauzi mgongo mpana ila sijaendelea na chochote baada ya hapo... Ila ni nyumba ya vyumba 3 vya...
Grab this unbeatable offer: 199,000/=
HP Laptop for sale
Specs
Model HP 6550b
Ram 4GB
Intel i5
Battery (charge) depletion time 45"- 1hr
❌Webcam isn't working ( but you can use external webcam)...
TYPE :German Shepherd
GENDER : FEMALE
AGE : 6 MONTHS
LOCATION : DAR ES SALAAM
PRICE : 600K
Very active with shining coats.
Interested, please inbox or whatsap 0718239997 kwa maelezo zaidi
Sent...
Habarii!
Ninatafuta fremu ya biashara ya duka la dawa muhimu (DLDM). Kati ya moja ya maeneo haya mwanza, dar es salaam, na nzega.
Kwa anaeweza fanikiiwa tuwasiliane PM inbox
Habari zenu wanajf. Nitumie fursa hii kuwatangazia kuwa ninauza maziwa mgando kwa bei ya tsh1,500/= kwa lita moja maziwa yetu ni mazuri hayaja chakachuliwa kwa namna yoyote ile. Makazi yangu ni...
Natumain wote ni wazima mnaendeleea na kupambana kutengeneza uchumi wenu na wa Taifa letu.
Nahitaji marine board na mirunda vilivyotumika Dodoma au singida kama unauza au unajua anayeuza na...
Habariniwakuu na pia napenda kuwapa pole na majukumu ya ya Kila siku
husika na mada tajwa happy juu kuwa nyumba inauzwa 10ml. Ipo pugu kimyamwezi umeme upo pia Hadi bomba la maji lipo Kwa...
Mashine ya kusaga onauzwa
mashine bado ipo kwenye hali nzuru kabisa , ina mwezi mmoja tangu itoke dukani
aina ya mashine ni YD , HP 20 , pia inatumika kuchania mbao au kumwagilia
mashine ipo...
Hii ni miche ya mikomamanga meupe,inaanza kuzaa mwaka mmoja hadi miwili,ni matamu zaidi na mbegu zake laini zinatafunika...inakuwa zaidi maeneo ambayo udongo wake hautuami maji.
Mche mmoja ni elfu...
Biashara ya utoaji wa huduma za mikopo kwa ajili ya ukarabati na maboresho ya nyumba ni moja ya njia za kujenga utajiri kupitia uwekezaji huu.
Hii sio njia ya moja kwa moja ya kuwekeza kwenye...
Habari wakuu
Nauza hii scan tool kwa ajil ya kupimia matatizo kwenye gari
Inasoma faults code mbalimbali
Inafuta faults code
Wireless connection
Internet browser
Inapokea updates
Nk.
Price...
Teknolojia makini kwa wafanya biashara makini, jiunge sasa na StraightBook mfumo unaomuwezesha mfanya biashara au mjasiriamali kuendesha biashara kwa mafanikio. ukiwa na straightbook huepusha...
Wajumbe kwema...
Nina prado 3rz... 95 series (almaarufu Prado Mchaga).
Nahitaji mtu mwenye prado ya 1kz. Tufanye exchange nitafanya Top up kidogo ikiwa condition ya gari yake ni bora zaidi...
Uzuri wa nyumba sio uimara wa msingi au boma.
Uzuri wa nyumba ni pamoja na urembo wake kuanzia nje na mpaka ndani. Pia uzuri wa nyumba ni pampja na muonekano wake, muonekano wake hutegemea urembo...
Tiles za mawe za kuuza. Bidhaa zetu zote ni zinazozalishwa katika Arusha. Tunakomboa nchi kote.
Bei Huaanza kutoka 30,000 tzs kwa m2 hadi 50,000 tzs kwa m2 kwajili ya wall cladding tiles.
Paving...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.