Jipatie kitanda Cha kukunja(camping bed) kwa matumizi mbali mbali ikiwemo kutumia nyumbani, kutumia ukiwa camp nk.
Condition: used
Open size:193x78x34cm
Folden size: 91X78X15cm
Price:200,000/=...
Nyumba inauzwa
Mahali: Goba(Lilian kibo) karibu na njia nne,
Nyumba ipo barabaran kabisa.
*Vyumba sita,
*Hati miliki,
*Umeme upo
*Maji yapo
*Bei 60millions
N.b
Maelewano yapo
Mhusika ni mimi...
Bado ipo clean kama mpya haijatumika muda mrefu iko kwenye condition nzuri
Inashoot movie
Memory 8GB
Mkanda
Charger
Lens 18 - 55
Bei 650000/= maelewano pia yapo
Nipo Mombasa Ukonga
1. Safari ya Bulicheka.
2. Tajiri wa Babeli.
Nicheki whatsapp.
Vingine vingi.
Kwa Tsh 2,000 hadi 4,000 utapata softcopies, za vitabu hivi. Tunakutumia kwa whatsapp. 0715278384 Pia kuna bonasi ya...
Habari!? Poleni na mahangaiko ya leo.Nahitaji vitabu kama 10 per pair kwa vitabu tajwa hapo juu.
Napatikana Temeke Dsm.
kama unavyo tuwasiliane.
Natanguliza shukurani.
Leo tutazungumzia tatizo linalowapata watu wengi sana pale umri wao unapokuwa umezidi miaka 50 na hasa wale wenye miili mikubwa. Nina uhakika kuwa umewaona akina mama wenye umri mkubwa na miili...
Nauza beeswax au NTA.
Kilo Moja 10000tsh.
NATAFUTA MTEJA WA UHAKIKA ambae nitamuuzia Kwa namna ya kuwa supplier wake Kila mwezi,
Kg100+
Mawasiliano ya haraka.0679012499.
Ninauza asali Kwa Bei ya JUMLA tsh 6500tsh Kwa LITA.
Bei hii ni Kuanzia Lita 20.
Nipo Mbeya MJINI.
Karibuni ndugu.
Mawasiliano ya haraka...0679012499
Asali hii ni kutoka MPAKANI MWA MBEYA na...
Kama kichwa cha habari kinavyosema.
Ndugu zangu, mimi nataka kununua TV ya mtumba. Ila sijui nianzie wapi. Kariakoo nimeenda ila nimekuta TV nyingi pale ni za dukani (yaani mpya).
Kama kuna...
Habari wadau.
Natoa huduma za kuuwa wadudu/fumigation,kwa kupulizia madawa .
Napatikana dar es salaam
Tunafanya majumbani maofisi na sehemu zingine zozote,
Kwa upande wa Bei zetu ,huwa...
wazee wa baja wazee wa madede chombo hicho hakina shida bei ya nzuri 1,200,000 tu. kadi yake ipo njoo na pesa unalipa unachukua chombo... namba zangu njoo dm
Karibu kwa huduma zifuatazo:
1.Ramani za nyumba(kuanzia 250,000/=).
2. Makadirio ya gharama za ujenzi(B.O.Q)
3. ufatiliaji wa Vibari vya ujenzi
4. Ujenzi na usimamizi.
Karibu nikuhudumie...
Nauza vifaranga (vijogoo)
vya umri zaidi ya wiki 2.
vifaranga vina chanjo
viko Mtoni Kijichi, Dar.
". kwa idadi na bei pigs 0754573036 au nitumie PM message
Apple Macbook Air Late 2020(M1 Chip) 13"
M1 7 CORE / 8GB / 256GB@ -Space gray(Arabic/English Keyboard)
Space gray/Gold. @ 3,000,0000/=
Apple Macbook Air Late 2020(M1 Chip) 13"
M1 8 CORE / 8GB /...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.