Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Bajaj ya abiria aina ya Tvs. Haina shida yoyote njoo na fundi kagua, lipa anza kuswampa Bei elekezi 1,500,000 0713096076 tuwasiliane
0 Reactions
0 Replies
636 Views
wadau,mwenye pikipiki tajwa hapo juu,na ambae yuko tayari kuuza,hata kama ilibadilishwa engine anicheki hapa 0784356521.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Jipatie kitanda Cha kukunja(camping bed) kwa matumizi mbali mbali ikiwemo kutumia nyumbani, kutumia ukiwa camp nk. Condition: used Open size:193x78x34cm Folden size: 91X78X15cm Price:200,000/=...
2 Reactions
43 Replies
4K Views
Mmoja mkubwa wawili wa wastani Wapo Kinyerezi Dar es salaam Kwa anayehitaji karibu PM
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Bango tayari
0 Reactions
0 Replies
318 Views
Nyumba inauzwa Mahali: Goba(Lilian kibo) karibu na njia nne, Nyumba ipo barabaran kabisa. *Vyumba sita, *Hati miliki, *Umeme upo *Maji yapo *Bei 60millions N.b Maelewano yapo Mhusika ni mimi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Bado ipo clean kama mpya haijatumika muda mrefu iko kwenye condition nzuri Inashoot movie Memory 8GB Mkanda Charger Lens 18 - 55 Bei 650000/= maelewano pia yapo Nipo Mombasa Ukonga
0 Reactions
0 Replies
423 Views
1. Safari ya Bulicheka. 2. Tajiri wa Babeli. Nicheki whatsapp. Vingine vingi. Kwa Tsh 2,000 hadi 4,000 utapata softcopies, za vitabu hivi. Tunakutumia kwa whatsapp. 0715278384 Pia kuna bonasi ya...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari!? Poleni na mahangaiko ya leo.Nahitaji vitabu kama 10 per pair kwa vitabu tajwa hapo juu. Napatikana Temeke Dsm. kama unavyo tuwasiliane. Natanguliza shukurani.
0 Reactions
4 Replies
449 Views
Leo tutazungumzia tatizo linalowapata watu wengi sana pale umri wao unapokuwa umezidi miaka 50 na hasa wale wenye miili mikubwa. Nina uhakika kuwa umewaona akina mama wenye umri mkubwa na miili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nauza beeswax au NTA. Kilo Moja 10000tsh. NATAFUTA MTEJA WA UHAKIKA ambae nitamuuzia Kwa namna ya kuwa supplier wake Kila mwezi, Kg100+ Mawasiliano ya haraka.0679012499.
1 Reactions
0 Replies
633 Views
Ninauza asali Kwa Bei ya JUMLA tsh 6500tsh Kwa LITA. Bei hii ni Kuanzia Lita 20. Nipo Mbeya MJINI. Karibuni ndugu. Mawasiliano ya haraka...0679012499 Asali hii ni kutoka MPAKANI MWA MBEYA na...
0 Reactions
1 Replies
628 Views
Nauza mabegi Medium size Price:50,000 Contacts:0686-942-315
2 Reactions
3 Replies
657 Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema. Ndugu zangu, mimi nataka kununua TV ya mtumba. Ila sijui nianzie wapi. Kariakoo nimeenda ila nimekuta TV nyingi pale ni za dukani (yaani mpya). Kama kuna...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Samsung Used Stock [emoji599] Sumsung s6edge ... 200,000Tsh Sumsung s7edge .... 260,000Tsh Sumsung s9...360,000Tsh Sumsung S9+ ...430,00Tsh Sumsung s10...470,000Tsh Sumsung s10+ ..550,000Tsh...
1 Reactions
0 Replies
433 Views
Habari wadau. Natoa huduma za kuuwa wadudu/fumigation,kwa kupulizia madawa . Napatikana dar es salaam Tunafanya majumbani maofisi na sehemu zingine zozote, Kwa upande wa Bei zetu ,huwa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
wazee wa baja wazee wa madede chombo hicho hakina shida bei ya nzuri 1,200,000 tu. kadi yake ipo njoo na pesa unalipa unachukua chombo... namba zangu njoo dm
0 Reactions
2 Replies
475 Views
Karibu kwa huduma zifuatazo: 1.Ramani za nyumba(kuanzia 250,000/=). 2. Makadirio ya gharama za ujenzi(B.O.Q) 3. ufatiliaji wa Vibari vya ujenzi 4. Ujenzi na usimamizi. Karibu nikuhudumie...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Nauza vifaranga (vijogoo) vya umri zaidi ya wiki 2. vifaranga vina chanjo viko Mtoni Kijichi, Dar. ". kwa idadi na bei pigs 0754573036 au nitumie PM message
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Apple Macbook Air Late 2020(M1 Chip) 13" M1 7 CORE / 8GB / 256GB@ -Space gray(Arabic/English Keyboard) Space gray/Gold. @ 3,000,0000/= Apple Macbook Air Late 2020(M1 Chip) 13" M1 8 CORE / 8GB /...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom