Habari wana Jf
Fridge Von linauzwa
Bei: Tshs 450,000/=
Lipo Gongo la mboto
Lina mwaka mmoja tangu lilinunuliwe
Halijawahi kutengenezwa wala kujazwa gesi
0689 150 968
0625 557 395
Nawaomba ndugu kwa mara nyingine baada kukosa mwanzo
Kwa nwenye PASI, JAGI ZA UMEME, BLENDER, heater na vifa vingine pia mfano wake mbovu natengeneza , nakufata hadi unapoishi bei haipungui...
Habari wadau.
Nani anajua vizuri hizi airpods pro copy. Naona kila anaeuza zake zina utofauti tofauti. Sasa nashindwa kujua ipi ni bora kwa sasa.
Naombeni ushauri wenu
Nyumba Ina vyumba 4 vya kulala kimoja master jiko la ndani na nje, mabanda ya uwani mabanda ya Kuku,kisima Cha maji,na eneo la wazi,unaweza hata kujenga nyumba nyingine, karibu Kwa mazungumzo...
Habari Zenu Wakuu.
Mimi ni Kijana wa Kiume Mwenye uzoefu wa miaka mitano(5) kwenye kupika na Ninaeamini Kwenye kufanya kazi kwa bidii na Pia kutekeleza Jukumu unalopewa kwa wakati Sahihi...
Habari wakuu nahama nauza vifuatavyo
Godoro inch 8 bei 140,000/-
Jiko dogo la gesi ( linagesi ilijazwa wiki moja iliyopita) 25,000/-
Feni 60Watts bei 25,000/-
Tray ya vyombo ngazi nne bei 10,000/-...
Je unahitaji mashine kwa kufanya biashara ya kuzalisha unga safi na bora wa sembe au dona na kusambaza kwa wateja wako wasiliana na Joel machinery manufacturing kwa ushauri wa kitaalam zaid...
Fridge Von lina mwaka mmoja tu
Bei Tshs 450,000/=
Lipo Gongo la mboto
Unauziwa hadi makopo
Juu linagandisha chini liaweka ubaridi
Huwa haliwashwi mara kwa mara.
0689 150 968
0625 557 395
Habari wakuu,
Leo ningependa kuzungumzia machache kuhusu SME platform na namna unavyoweza kujipatia kipato ambacho kitaweza kukukwamua kwenye swala zima la kiuchumi.
SME(Sharing Medical...
Salaam kwa wote. Nauza kabati kubwa la vyombo (kama linayoonekana pichani). Bei ni shilingi 350,000/. Kabati limetumika lakini lipo kwenye hali nzuri sana.
Pia nauza friji ndogo (kama...
Wiki ijayo ni birthday ya mpenzi wangu.
Anapenda sana cake na chocolate.
Naomba mnisaidie idea simple ya kumfikishia cake by surprise maana mimi nimesafiri ila nataka imfikie kwake makongo...
Habari wakuu, gari hizi mbili zinauzwa .
Make: Mitsubishi fuso
Body: Tipa
Location: Dar
Engine: zote mbili zina engine ya 6D17
Bei: hiyo ya njano ni 60M
Hiyo ya Blue namba DM ni 75M.
Gari...
Habari wakuu, Mitsubishi fuso tipa zinauzwa
#CLJ Bei 50M ipo Dar
#DHH Bei 55 ipo Morogoro
Pia SEMITRAILER horse ni 124-420 pamoja na body lake linauzwa vyote bei mil 55.
Gari zinahali nzuri na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.