Juice ya Nafaka au Togwa kinywaji

Juice ya Nafaka au Togwa kinywaji

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,951
Reaction score
9,509
Wakuu, nimeanza kuzalisha Juice ya nafaka au Togwa kwa jina jingine na kuipack kabisa, Yaani inakuwa packed na inakaa muda mrefu sana.

Togwa zinanywekwa kwenye nchi nyingi za Africa ukianzia South Africa kupanda juu, hadi Ethiopia kote huko.Kinacho tofautishwa sana ni Majina ila ukiona kilicho ndani ni kile kile. Mfano Soutj Africa na hadi Zimbabwe wanaita MAHEWU, hii ni ni togwa kabisa na iko packed na inasambazwa.

Kuna nchi hadi Cocacola Company imejitosa na kuzalisha na kupack togwa kabisa.

Ni Bahati mbaya sana sisi tumelala sana kama ilivyo ada yetu. Naweza kwa baadae kuja kitoa Techinic isue
View attachment 1927305View attachment 1927315View attachment 1927318View attachment 1927322
 

Attachments

  • images%20-%202021-09-04T120259.842.jpg
    images%20-%202021-09-04T120259.842.jpg
    28.4 KB · Views: 40
  • images - 2021-09-06T205818.081.jpg
    images - 2021-09-06T205818.081.jpg
    15 KB · Views: 32
  • images - 2021-09-06T205818.081.jpg
    images - 2021-09-06T205818.081.jpg
    15 KB · Views: 33
  • IMG_20210905_103136.jpg
    IMG_20210905_103136.jpg
    35.2 KB · Views: 36
  • TOGWA POSTER a3.jpg
    TOGWA POSTER a3.jpg
    86.8 KB · Views: 38
Hapo umenipata, nitakutafuta ninunue maana hizo juice nimekunywa sana zimbabwe na nilikua napenda kwenda kuzinunua kwenye maduka ya mohammed Mussa mjini harare chini kidogo ya stand yao roadport
 
Kwanza hongera sana kwa idea hiyo nzuri maana nilikua nikiipiga ya mtama au ya mahindi na mishkaki miwili mitatu nashinda bila kula chochote
 
Wakuu, nimeanza kuzalisha Juice ya nafaka au Togwa kwa jina jingine na kuipack kabisa, Yaani inakuwa packed na inakaa muda mrefu sana.

Togwa zinanywekwa kwenye nchi nyingi za Africa ukianzia South Africa kupanda juu, hadi Ethiopia kote huko.Kinacho tofautishwa sana ni Majina ila ukiona kilicho ndani ni kile kile. Mfano Soutj Africa na hadi Zimbabwe wanaita MAHEWU, hii ni ni togwa kabisa na iko packed na inasambazwa.

Kuna nchi hadi Cocacola Company imejitosa na kuzalisha na kupack togwa kabisa.

Ni Bahati mbaya sana sisi tumelala sana kama ilivyo ada yetu. Naweza kwa baadae kuja kitoa Techinic isue
View attachment 1927305View attachment 1927315View attachment 1927318View attachment 1927322
Vipi TBS wameipitia?
 
Tupilia mbali kuongeza nguvu mwilini juice za nafaka ni nzuri kwa wanaofanya diet maana ukiinywa unashiba kabisa hivo huwezi kula hovyohovyo
Yes ukinywa hii mchana unaweza usisikie njaaa,
 
Hongera sana Mjasiriamali makini wewe..

Uzi kama huu hutowakuta watu wakichangia kwa wingi..
 
Hope ukiifanyia marketing kubwa utateka soko na kwa sababu wewe ndio wa kwanza maana sijawahi kuziona bongo, ambazo ziko well packed utauza sana, na utatengeneza ajira nyingi
 
Tunaruhusiwa kukopi na kupesti.?

Hongera sana mkuu
 
Back
Top Bottom