Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 26,534
- 61,964
Naombeni mnijuze huwa wanauza sh ngap? Maana huwa naona picha zao tu mtandaoni.
Hii sio smoothie? Unajua kuna tofauti kati ya smoothie na juice? Kwa Tanzania kuna utajiri wa fresh fruits and veggies kiasi ambacho biashara ya smoothie ni nzuri!Naombeni mnijuze huwa wanauza sh ngap? Maana huwa naona picha zao tu mtandaoni.
umeandika nini?Hii sio smoothie? Unajua kuna tofauti kati ya smoothie na juice? Kwa Tanzania kuna utajiri wa fresh fruits and veggies kiasi ambacho biashara ya smoothie ni nzuri!
Kipi ambacho hujaelewa hapo sasaumeandika nini?
Utawaweza vijana wa siku hizi? Anaweza kua hajaelewa kweliKipi ambacho hujaelewa hapo sasa
Nina maana hiii: Maji ya matunda au mboga mboga yakikamuliwa yanaitwa juice. Halafu kuna ''rojo'' la matunda au mboga mboga ambalo linaitwa ''smoothie'' kwa kimombo ambalo ndio limeshika chat sana siku hizi kwa watu kunywa. Mtu anasaga matunda au mboga mboga kwa mashine na ile rojo inayopatikana ndio inaitwa smoothie. Sasa mleta mada ameweka picha akisema ni juice lakini nimeangalia ikawa kama ni hiyo smoothie, ndio nikauliza ''hii sio smoothie kweli''?umeandika nini?
Mkuu hujakoseaa lakini huku wenzio twaziitaa juice .......while ni smoothie........Nina maana hiii: Maji ya matunda au mboga mboga yakikamuliwa yanaitwa juice. Halafu kuna ''rojo'' la matunda au mboga mboga ambalo linaitwa ''smoothie'' kwa kimombo ambalo ndio limeshika chat sana siku hizi kwa watu kunywa. Mtu anasaga matunda au mboga mboga kwa mashine na ile rojo inayopatikana ndio inaitwa smoothie. Sasa mleta mada ameweka picha akisema ni juice lakini nimeangalia ikawa kama ni hiyo smoothie, ndio nikauliza ''hii sio smoothie kweli''?
Mbona unajikoshaa sana Baba OtienoMkuu hujakoseaa lakini huku wenzio twaziitaa juice .......while ni smoothie........
Jaman kuna hotel niliagiza milk shake nilitamani kurudishaaa......
Kwaio mkuu hio smoothie ukiongezea na maji ndo inakua juice au vipi?Hii sio smoothie? Unajua kuna tofauti kati ya smoothie na juice? Kwa Tanzania kuna utajiri wa fresh fruits and veggies kiasi ambacho biashara ya smoothie ni nzuri!