Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Aim: Nauza Bata Specie: Bukini Serbié wakubwa idadi: Wawili (dume na jike) Price: Dume (TZS 330,000) na Jike (TZS 300,000) Combined Price: Ukichukua wote nakuuzia kwa 600,000/=. Location: Makongo...
7 Reactions
65 Replies
6K Views
Habarini za jioni wana jamiiforum wenzangu. Kwa yeyote mwenye uhitaji wa building material yoyote ya GoodOne brand au GoodWill tafadhali usisite kuwasiliana na mimi sales wa Goodone, Johari...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
RE Usajili namba C Imetunzwa Aliekua anaendesha ndie mmiliki Ina miaka 2 na nusu toka ainunue Anataka kubadili biashara Chombo hakina tatizo lolote Inapatikana dodoma mjini Anauza million 3 Mpigie...
0 Reactions
6 Replies
932 Views
Naomba elimu juu ya water pump nzuri za kutumia diesel na petrol. Ziwe na uwezo wa kusukuma zaidi ya mita 300 Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari ndugu zangu, Tukutane hapa kwaajili ya maulizo ya magari Kwa Bei Poa kabisa na pia kuuliza swali lolote kuhusu magari Kwa maulizo madogo madogo tunaweza wasiliana Kwa 0777994134 Kwa mfano...
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Service yangu ni kwa ajili ya watu wanaotaka kuwa na Vipindi vya Kuvirusha kwenye youtube instagram na Facebook ... Nakutengenezeae account ya Youtube instagrama na facebook kama hauna then...
0 Reactions
0 Replies
810 Views
Je umenunua TV yako ya gharama kubwa na bado unahofia wezi wanaweza kuja kukuibia TV yako. Je unajua asilimia kubwa ya vitu vinavyoibiwa majumbani ni TV. I-SECURE wanalo jibu ni jinsi gani unaweza...
6 Reactions
55 Replies
6K Views
Chumba na sebure vinapangishwa kinyerezi kabla ya kufika kabisa la Roma stand ya zamani unaingia ndani kidogo karibu na msikiti wa kimbekete na karibu na transfoma ni karibu na kituo Cha magari...
2 Reactions
4 Replies
741 Views
Nilikua nafanya reference katika sheria kadhaa za elimu Sekondari kwa watoto wa kidato Cha Pili na kidato Cha Nne. Nimeona watoto wote wa madarasa ya mitihani hawapaswi kuingia kwenye vyumba vya...
0 Reactions
6 Replies
778 Views
Habari wadau. Vyumba vizuri vyenye furniture zake ndani vinapangishwa Ubungo Riverside. Vyumba hivi vina kitanda 5 x 6 na godoro, meza za kusomea, sehemu za kuwekea vitabu ama vitu Vyumba hivi...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Salama wakuu. Ninahitaji engine ya boat Yamaha hp 15 iliyo na gear ubavuni. Kwa aliyenayo tafadhali karibu tufanye biashara. Mpya itafaa zaidi.
0 Reactions
7 Replies
896 Views
PRICE: 5.8 M MODEL: Starlet Glanza ep91 ENGINE: 4e fe 1331cc YEAR; 2002 TRANS: Atomatic Push to start keyless entry Underseat subwoofer Sports rims Spare tyre wheel spanner Call/WhatsApp 0673-364751
0 Reactions
2 Replies
701 Views
Habari ndugu wana jf, Nahitaji Quad Bike bajeti yangu 2M-2.5M iwe na cc 250 na kuendelea pia iwe manual
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ipo kipawa uwanja wa ndege price 400k haina tatizo lolote.
1 Reactions
17 Replies
743 Views
Nataka kununua pikipiki aina tajwa hapo juu...ambaye yyt anauza pkpikp anipm chap kufikia kesho tufanye biashara ...ofa yangu ni 1.4
0 Reactions
2 Replies
865 Views
SABABU YA NYUMBA KUUNGUA KWA TATIZO LA UMEME NA UTATUZI WAKE: Napenda kuwakaribisha katika majadiliano ya tatizo hili ambalo limekuwa likisababisha majanga makubwa sana hapa kwetu Tanzania...
5 Reactions
5 Replies
5K Views
From China to Tanzania. Pata les wig kwa bei rahisi kabisa. Hii elfu 30,000/= zimebaki Pisi 10. Linaosheka na kusetika,Unaweza ukabadilisha na rangi pia. Hii elfu 35,000/= zimebaki Pisi 8...
0 Reactions
12 Replies
9K Views
[emoji2769]Ngazi Ya Kupanda Kiuchumi Ipo Kigamboni [emoji2769]Hakikaa Hata Wewe Unaweza 143000 TU Kila Mwezi. [emoji2769]Kamwe Usiruhusu Mazingira Yanayokuzunguka Kuzuia Ukuwaji Wako [emoji2769]...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habarini Wakubwa Naomba kuuliza bei za pempass za yami yam jumla na rejareja kwa mikoa mbali mbali Dar es salaam pia naomba kujua bei Natanguliza shukrani Kuna deal kubwa linakuja
1 Reactions
0 Replies
726 Views
Nahitaji delli kwa ajili yakuhifadhia vitu baridi kama ice cream...barafu kwa mwenye nalo anaweza kunicheki PM
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom