Wenzangu mnaopenda kupendeza, natafuta sana kiatu cha vans cha mtumba, maana bei yake kutoka nje naona ya moto sana siwezi kufika.
Kama kuna anaweza kunisaidia kupata vans namba 39 ntashukuru sana...
Wadau salama. Naomba kujua ni mtaa gani Kariakoo wanakouza baiskeli hasa hasa za watoto.
Au kama sio Kariakoo, sehemu nyingine ambapo zinapatikana kirahisi.
Asanteni
We are NEW DOUBLE OCEAN LOGISTICS COMPANY LTD, a registered and licensed clearing and freight forwarding company in Tanzania.
We provide cargo and car clearance from dar es salaam port and other...
Nina hadithi yangu ya kijasusi inayo enda kwa jina la ULIMWENGU WA WATU WABAYA, ni miongoni mwa hadithi bora sana kuwahi kuandikwa nchini Tanzania.
Nicheki kwa namba 0621567672 WhatsApp au kupiga...
Fahamu Cement zinazozalishwa Tanzania na ambazo zipo sokoni.
Nitaeleza Kwa ufupi na sitaenda kitaalam kiundani Kwa faida ya wengi.
Cement zipo za aina nyingi Tokana na,
1: Material...
Makubaliano kati ya mpangaji na mwenye nyumba ni jambo muhimu sana kufanyika.
Makubaliano kati ya watu hawa wawili ndio muongozo wa mahusiano, na jinsi ya kukabiliana na changamoto mbalimbali...
Habarini wakuu.
Ninahitaji gari kati ya IST, Vitz, Swift na Suzuki Jimmy. Budget yangu ni 5.5. Sihitaji dalali, nataka niwasiliane na mmiliki moja kwa moja.
Asanteni.
DODOMA LANDLORD COMPANY(DLC)
TUNAKULETEA HIZI HAPA APARTMENT NZURI ZINAUZWA.
[emoji1485]mahali:-MICHESE DODOMA MJINI. MKABALA NA RELI YA SGR.
[emoji1485]NYUMBA ZA KWANZA BAADA YA RESERVED ROAD...
MABATI SOLD OUT BIASHARA IMESHA FANYIKA YAANI MABATI TAYARI YAMESHANUNULIWA NAWASHUKURU WOTE NA SAMAHANI KWA USUMBUFU, BIASHARA NAZOFANYA NO RONGO RONGO SIKU NYINGINE CHANGAMKA
Mabati yanauzwa...
Wakuu habari za masiku nilikua naomba msaada mimi ni fundi simu nilikua nimeandaa bajeti ya. Milioni 1 nataka kuboost ofisi vifaa navyotaka kuongeza NI UFI Box,Digital Power Supply na Short...
Habarini wakuu
Mapambano ya kulijenga taifa yanaendelea...
Naleta kwenu ombi la kupata eneo la kujenga mashine kwa ajili ya kusaga na kukoboa katika maeneo tajwa hapo juu yaani kuanzia Kimara...
Habarini ndugu jf , napenda kuwapa taarifa hii muhimu sana kwa kila mwanaharakati katika maisha yake, kama una ujenzi wako binafsi au shirirka au ujenzi wa aina wowote ule, basi kutana na mafundi...
Kwa mahitaji ya picha nzuri, kali, murua na maridadi kama hii tuwasiliane kwa 0659445718 au ni pm.. Mwenye dili za kuchora, ofisi inayohitaj mchoraj au mahali pakuanzia msaada please.
Kifaa hiki nimekitengeneza kinauwezo wa kuwasha vifaa vya umeme kwa njia tatu.
1: Kwakutumia switch za kawaida.
2: Kwakutumia Bluetooth kwenye smartphone yako.
3: Kwa kutumia internet kwenye...
Haya mandhari ya Shule...
Mazingira Bora Kabisa...
Kwa uzuri huu lazima Mwanao Afaulu
Michezo inakuza Afya zao za akili
Hongereni wadogo zetu....Hongera Walimu...Hongera Mkuu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.