Food Scientist
Senior Member
- Apr 29, 2017
- 102
- 185
Wakuu,
Aliye dodoma ambae anaweza nisaidia kupata Chumba Master (self contained room) kubwa au na sebule yake eneo la kisasa au Nyumba 300 naomba awasiliane na mimi.
Pia kama una namba ya dalali naomba unisaidiee niweze fanya mawasiliano nae.
Kuna zile nyumba za serikali 300 kama utaweza nisaidia jinsi gani naweza fuata utaratibu nitashukuru sana.
Tuwasiliane kwa namba 0764799179
Asanteni.
Aliye dodoma ambae anaweza nisaidia kupata Chumba Master (self contained room) kubwa au na sebule yake eneo la kisasa au Nyumba 300 naomba awasiliane na mimi.
Pia kama una namba ya dalali naomba unisaidiee niweze fanya mawasiliano nae.
Kuna zile nyumba za serikali 300 kama utaweza nisaidia jinsi gani naweza fuata utaratibu nitashukuru sana.
Tuwasiliane kwa namba 0764799179
Asanteni.