Habari karibu Bibi nyuki traders tunapatikana Magomeni sisi ni wataalam wa masuala yote yanayohusisha nyuki. tunajihusisha na uzalishaji na usambazaji wa mazao ya nyuki, asali pamoja na nta...
OFFA OFFA
iPhone 7 plus,
450,000 Tsh.
iphone X
600,000 Tsh
Iphone X Max
750,000 Tsh
Simu hizi ni mpya new, zinakuja toka china.
Weka order yako haraka. Pesa utalipa baada ya kupewa simu...
2006 NISSAN PATROL
Price Tshs. 30 Million
Engine TD42
Manual, 4000cc Fuel Diesel
Gari ya kazi kazi
In Very Good condition.
Imetunzwa vizuri mnoo
Mazungunzo kidogo yapo.
Whatsapp/call: 0744336336
USED GOOGLE PIXEL N SAMSUNG S9, S9 PLUS.
SIMU PEKEE NO ACCESSORIES.
CALL 0693225605.
pixel gb 64! na 128, Android 12.
Simu nzuri sana jamani.
niungeni kijana wenu nisife njaa...
GPS TRACKING SYSTEM NI NINI
Ni mfumo ambao unawezesha chombo cha moto ambacho kimefungwa kifaa hicho kuweza kutoa taharifa mbalimbali kwa muhusika.
Mfano ---- Sehemu chombo kilipo
----...
Karibu ujipatie sandwich tamu kabisa kwa ajili ya nyumbani, sherehe, harusi na kazini. Tunachukua orders ya mapishi pia kwa ajili ya snacks za aina zote.
Matatizo Yako Yote Ya Maji Tuachie Sisi | [emoji97][emoji97][emoji97]
Tunaamini hata wewe unaweza kuondokana na adha ya kulipa bili kubwa ya maji, au kuepuka kero ya kukatika kwa maji mara kwa...
Hp laptop inauzwa. Laptop imetumika lakini bado ipo kwenye hali nzuri sana.
-> Kioo kina ukubwa wa inchi 15
-> RAM ni 4GB
-> Hard disk yake ni 500GB
-> CPU ni duo core ya 1.6Ghz
-> Kipengele chake...
Mi TV Box S inauzwa kwa bei chee. Hiki ni kifaa kinachoipa uwezo TV yako ambayo siyo smart TV kuwa smart TV na pia hata kama TV yako ni smart lakini haina android OS basi unahitaji kifaa hiki ili...
Habari
Natafuta sehemu kwa ajili ya kufungua offisi Dodoma.
- Offisi hio iwe mjini Dodoma au karibu na mjini kabisa
Sehemu tulivu
Offisi iwe near karibu na public transport
itapendeza sana...
Pangasasa ni kampuni inayo usika na huduma mbali mbali kama:
1: Kupangisha makazi
2: Kununua makazi
3: Kuunganisha mhuuzaji na mnunuaji
4: Kusafirisha na kuhamisha mizingo ya mpangaji...
Habari wadau,
Je, local disk ya computer ama laptop yako imejaa na hujui unaiongezaje ukubwa? Umejaribu ku-shrink disk ya karibu lakini huwezi kuongeza unallocated space katika C drive yako...
Kiwanja kinauzwa Tegeta A. Square meter 400. Bei ni shs 15m. Kuna matofali mengi tu kama bonasi. PM au email tajirika@gmail.com. Mhusika mimi kwa hiyo hakuna udalali.
Mimi nipo Mwananyamala kibiashara nafkiria kutafuta kiwanja maeneo ya Tegeta au karibu na Tegeta ili nifanye makazi lakini sijawahi kufika nasikia tu Tegeta... na nimeangalia kwenye google map...
Subwoofer yenye Amplifier ndani
-Watts 1000
Mdundo Kama Wote[emoji344]
Kwa ajili ya Gari[emoji593] lako au Bajaji
Zinapatikana kwa Jumla na Rejareja
Bei
90,000/=
Tupo Kariakoo-Dar es Salaam...
Kindly find the attached company profile and of our cleaning company.
Our company was founded
on the principle of warm, friendly and efficient service. Our staff knows how to get the job done and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.