Nauza kiwanja cha 100/50 maeneo tajwa hapo juu. Eneo lina huduma za umeme, maji, ulinzi, kiroho nk. Ni fast growing area on buildings. Lina hati timirifu. Eneo lipo katikati ya makazi ya watu on...
Nyumba zote zote Zina jumla ya vyumba 9, vitano master na vyumba Vinne vimeisha kabisaa na Kuna wapangaji tayri.
Kuna jiko, sebule kubwa, choo Cha public, dining room. Kiwanja kina square mita...
Habari Wakuu mbalimbali...
Nahitaji gari aina ya Nissan Dualis kwa budget ya 13.5 - 14 M. . Napendelea Nyeusi but kama ipo rangi tofauti na hiyo pia ni sawa .
Waweza nitumia picha na details zake...
Habarini wanajamvi, karibuni sana niwapatie huduma ya zuku unlimited home internet, ni huduma nzuri yenye kasi zaidi, free device(router), na free installation kwa wateja wetu.
huduma kwa sasa ni...
#Kigamboni city. Apartment for rent. Tsh 250,000/= tu Chumba kimoja Cha kulala ambacho ni Master. , ukumbi na jiko. Zipo nyumba 9 zinatumia geti moja kuu, pia Kuna ghorofa ambapo ground floor...
Kwema wanajf kwa mtu anayeuza nyumba aweke taarifa za nyumba na picha zake mf nyumba inauzwa ina vyumba vingapi iko maeneo gani na bei yake na anayehitaji nyumba aseme anahitaji nyumba aina gani...
Habari zenu wakubwa, mimi ni mwenyeji wa Arusha, ila nina trip nyingi sana za Dar Es Salaam, nimefikiria si mbaya kama nitakuwa na kaenea na kujenga kajinyumba kangu kadogo kakufikia Dar Es...
Habari!
Natafuta kiwanja kati ya maeneo yafuatayo Dar Es Salaam.
1. Goba
2. Kigamboni
3. Kinyerezi
4. Madale
Siyo lazima kiwe kimepimwa. Mwenye nacho ani PM.
Asante sana
Sent from my...
Habarini natafuta kiwanja Dar es Salaam maeneo ya Kibamba, Goba kiwe kizuri si ndani sana wala mbali sana.
Bajeti milioni 5.
Kwa mwenye nacho aniambie.
Habari natafuta kiwanja eneo la chamazi. Kuanzia magengeni mpaka maeneo ya azam.
Bajeti yangu ni milioni 4 kushuka chini.
Kama unacho toa sifa zake kama size kikoje na kiko chamazi ya wapi ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.