Hi Ni volt 12 hivyo lazima uwe na adapter.. na radioWatts 1000? Maana yake nikiunga geto nakula mdundo wamaana kama wa sony?
Zikoje mkuu?weka hata picha bossHii kitu anachukua nafasi kubwa kwenye buti la gari, tafuta zile kama bapa za kuweka chini ya siti ni nzuri.
Muuzaji na yeye hajui chochote .ndo mana mtu kamuuliza kuweka geto akasema haifai ni wazi hana uelewa na anachouzaKuna kitu unapotosha au hujui.Sidhani kama kuna subwoofer ya gari yenye watts 1000.Unazijua watts 1000 wewe?!
Hebu piga picha hapo kwenye subwoofer ambapo pameandikwa watts 1000 kisha posti hapa.