Pangasasa Company, Real Estate

Pangasasa Company, Real Estate

JrAssess

Member
Joined
Jul 13, 2022
Posts
62
Reaction score
60
Pangasasa ni kampuni inayo usika na huduma mbali mbali kama:

1: Kupangisha makazi
2: Kununua makazi
3: Kuunganisha mhuuzaji na mnunuaji
4: Kusafirisha na kuhamisha mizingo ya mpangaji...

KUPANGISHA
Tunapangisha nyumba kwa wenye maitaji ya makazi ya kupanga.
Tunazo nyumba za aina nyingi zipo

1: Apartment vyumba viwili
2: Nyumba nzima, kuanzia vyumba 3 na kuendelea
3: Frame za biashara na office
4: Vyumba vya self, na master room.

KUNUNUA & KUUZA MAKAZI:
Tunanunua makazi kama zifuatavyo

1: Nyumba zinazo uzwa na kukodishwa kwa muda nk

KUUNGANISHA MUUZAJI NA MNUNUAJI

Tunafanya hudumaya kukuunganisha mwenye mali na mnunuaji kwa kukuunganisha moja kwa moja

KUSAFIRISHA MIZIGO ZA MPANGAJI
Tunatoa offer kwa mpangaji mwenye mali za kuamisha kwenye makazi tuliyo mpangisha...

Vilevile
TUNATOA HUDUMA ZA KUUZA NA KUNUNUA VIWANJA
Kwa Wakazi wa Dar es salaa
Kwa maelezozaidi unaweza kutupata
Play store na website zetu View attachment 2296355View attachment 2296356

Vist www.pangasasatz.com
 
HiziView attachment 2298424
IMG-20220714-WA0012.jpg
View attachment 2298425
 
Back
Top Bottom